Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1945 - Mji wa Hiroshima huko Japan, walipuliwa na bomu la atomic lililojulikana kama " Little Boy " ambalo liliua watu takribani 170,000 hapohapo na wengineo walifariki zaidi baadae kutokana na mionzi ya sumu.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza bomu la atomiki kutumika Duniani katika Vita kuu ya Pili ya Dunia, na lilileta madhara makubwa sana mpaka leo.
 

Ugaidi tu huo
...............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…