Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Uwongooooo unampendaaaaaSkupendiiiiiii
Uwongooooo unampendaaaaaSkupendiiiiiii
Nitakukata mtama weweYaani uliona kwa kiingereza sikuelewa umeamua kunipa kwa kiswahili?...Hahahahha, Love u Valee..
Ha haa sijui ntaanzia wapi kumpenda kwa mfanoHahaha unadanganya rohoni unatamka i love manuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Simpendi simpendi simpendiiiiUwongooooo unampendaaaaa
Imebadilishwaje?Shukrani nyingi kwa founder kwa kukubali kubadilisha...intro ya uzi huu. Mmeutendea haki ushauri wangu.
Muulize 'mzee wa laba'/Th Name, atakueleza.Imebadilishwaje?
Japo uzushiShukrani nyingi kwa founder kwa kukubali kubadilisha...intro ya uzi huu. Mmeutendea haki ushauri wangu.

Hapa 90% ni maselaMchana Mwema mazee
Utaanzia pale ulipoanza kumchukiaHa haa sijui ntaanzia wapi kumpenda kwa mfano
Labda anihongeUtaanzia pale ulipoanza kumchukia
Atakununulia nyama ya ulimi, ukiimaliza atakupa ya mkiaLabda anihonge
Namsimamia tumboniHalafu akianguka chini umlalie eee![]()
![]()
![]()
![]()

Anajua hata nyama ya ulimi huyo!Atakununulia nyama ya ulimi, ukiimaliza atakupa ya mkia
Tatizo umeandika posts nyingi sana nina wasi wasi kama unarejea zote za uliyoyaandika,Japo uzushi
![]()
![]()
![]()
............................
Imebadilishwaje?
Ooh thanks kwa ufafanuzi huo...Tatizo umeandika posts nyingi sana nina wasi wasi kama unarejea zote za uliyoyaandika,
Mwanzoni uzi huu ulikuwa na intro ya maneno yaliyoko kwenye link hiyo hapo chini ambayo alikunukuu Retired Mp (Bonyeza click expand kuyasoma yote)
Makapuku Forum
--------------------------------------------
Baada ya kusoma utangulizi/intro huo niliwashauri mfungue uzi mwingine kwenye jukwaa la malalamiko. Pia nilitaadharisha wazoefu wa JF kuwa wabadili uandishi wao ili kuepusha kuanzishwa Makapuku forums inayolenga kuwavuta 'wanaodharauliwa' hapa jukwaani angalia link hii hapa chini.
Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...
========================================================
Nadhani umepata majibu.