Number 9, MS Freedom of the Seas View attachment 376076 (urefu- mita 338.94, uwezo ~ watu 5000 passengers,uzito- tani154407, gharama- usd millioni 800)
Ilitengenezwa na kukamilika mwaka 2004 na kwa kpindi hiko ilikuwa ndo cruz ship kubwa kuliko zote dunian ila miaka ilvo songa waka ipiga chini
TwasubiriTop 10 zna kuja hivi punde
Number 8, Norwegian Epic View attachment 376077 (urefu- mita 329 , uwezo-abiria 5800 , uzito- tani 155873, gharama-usd bilioni 1.2)
Ilizinduliwa mwaka 2009 huko norway ni moja ya meli zenye starehe za kila namna
Nzuri mkuuAah
Sor za jioni wakuu
Sawa mkuuTupate mapumziko kdogo
Halaf ntarudi
Chezea wazee wa bahari wewe...wa norwey nimewakubali aisee
Usijali.Hii touch sometimes inanipa herufi ambazo sijacommand mnivumilieko wakuu...
Iko njema sana Mkuu. Hali yako vipi?Aah
Sor za jioni wakuu
Hahahaha...ndo zetu kipindi hicho wazee wa chabo...mijicho kodooo
Dingi anapiga fegi huyo!!View attachment 376046View attachment 376047View attachment 376048
Huyu babu alifanyiwa uhuni na Makondakta
..................
Number 7, Nimitz Class Carriers View attachment 376081 (urefu- mita 332.9, uzito-tani 100,000, gharama- usd bilioni1 ( bei ya mwaka 1975 hiyo), ndege za kivita 80+, Crew- watu 6000 )
Moja ya ndege bora kabisa za kivita za jeshi la maji la marekani
Hubeba ndege za kivita zaid ya 80, mabom ya kuzamisha meli na mabomu ya kutungulia ndege
Apple....sorry Sweetiepie we ni me or ke???Aah niliingia jukwaa flani...nikawa naguswa tu na mada flani flani...full kushushuliwa na dem flan hivi...ooh we vipi umekuja kwa kasi wakati umejisajili juzi tu...nikabaki nashangaa tu kwamba kumbe JF kuna watu special ndio wana deserve kuongea au kuchangia...nikajikuta mood yote imekufa...sema naona humu kwa makapuku pa kijanja no Shoboz peleka kwenu!!. One love Guys