Ni hakika na kweli braza.Ni kweli kabisa. Kukomaa mwanzo mwisho tu. Mungu yupo upande wetu siku zote
Twaisubiri Mkuu. Karibu.Nukuu ya leo itawajia hivi punde
NUKUU NO 1#
Nadhani tunaangushwa na viongozi wetu na wasomi wetu
Wamefikia mahari wanafikiri mwananchi hajui chochote,
Yeye ni wa kuelimishwa tu
Viongozi ndio wanaohitaji kuelimishwa kutokana na mawazo ya wananchi
Kweli tuna mapungufu, yaani nchi hii imefika mahali mtu anaona aibu kujivunia nchi hii.
Haya yalisemwa dar es salaam, Mei 12,2008 na waziri mkuu wa zamani Jaji Joseph Sinde Warioba.
Aliyatamka maneno hayo kwenye mahojiano na waandishi wa habari, akijibu baadhi ya shutuma kwa watawala kwamba maoni aliyokuwa ameyatoa awali kuhusu mwafaka wa CUF na CCM yalikuwa niya kukurupuka




NUKUU NO 2#
Katika Dunia yetu hii, namna tunavyofurahia vitu na namna tunavyovichukia Kuna uhusiano wa moja kwa moja na ubora wa utashi, uadilifu na hulka zetu binadamu.
Haya yalisemwa na mwanafalsafa wa kale wa Ugiriki Aristotle
Mwanafalsafa huyo alizaliwa mwaka 384 BCE huko stagira, Macedonia ya kale.
Inaaminika kuwa Aristotle alikuwa mfuasi mkubwa wa mafundisho ya Plato kabla ya kujiondoa na kujenga fikra na mitazamo yake mwenyewe
Ushaupata bila kupingwaWakuu naombeni umemba...![]()













Kasome page no 1,2 na 3Haha si unajua kuku mgeni hakosi kamba mkononi...niambieni tu hasa mmefocus kwenye mada za namna gani....ili nisije ingia chaka![]()
Kasome post # 1-3Haha si unajua kuku mgeni hakosi kamba mkononi...niambieni tu hasa mmefocus kwenye mada za namna gani....ili nisije ingia chaka![]()
You got it...Kasome post # 1-3
Haijalishi mgeni wala mwenyeji cha msingi "ushirikiano & kujichanganya + NO USUPERSTAR"
.......................

Haina nomaaa ngoja nichek!Kasome page no 1,2 na 3
Na utawekwa kwenye list...muhusika akijaYou got it...![]()
Shukrani braza.Mpaka hapo Sina la ziada, kwa hisani kubwa ya malkia wa Uingereza, tchao
Pamoja sana kiongoziShukrani braza.