Dah! Hao watoto sijui ni mazereu ama bado wako kwenye ujima? Siamini taifa lililoendelea hivyo bado watoto wao wana huo mtizamo au labda pengine ndo wanaaminishwa hivyo na hao walimu wao... Shwain kabisa hyo mitoto ya japan
Dah! Hao watoto sijui ni mazereu ama bado wako kwenye ujima? Siamini taifa lililoendelea hivyo bado watoto wao wana huo mtizamo au labda pengine ndo wanaaminishwa hivyo na hao walimu wao... Shwain kabisa hyo mitoto ya japan
Na wakati nchi yetu huongozwa na wazee lakin ziko nchi ambazo huongozwa na wazee zaid
So leo tuna chek wakuu wa nchi wazee zaid duniani
Yaan The 10 oldest heads of state
Number 10, Salman bin Abdulaziz Al Saud, Saudi Arabia huyu ni mfalme wa Saudi Arabia ana miaka 71 ni mmoja wa vitukuu, vya muasisi wa Saudi Arabia Abdulaziz ibn Saud na pia ali mrithi ufalme kaka yake anaye itwa Abdullah bin Abdulaziz, na alirithi kiti hko akiwa na miaka takriban 69
Number 9, Akihito, Japan ana miaka 82 ni mfalme wa japan alo mrith mfalme Hirohito aliye fariki mwaka 1989, yeye hupenda kuandika vitabu vya uvuvi na mambo kama hayo
Number 8, Paul Biya, Cameroon mmoja wa marais walio tawala wa muda mrefuu kabsa (japo huiba iba kura naye) ana miaka 83 na ametawala Cameroon kwa miaka takriban 34 na bado kuna uhakika ana weza kufikisha miaka 40 ya utawala kabla haja achia ngazi
Number 7, Raúl Castro, Cubamwana mapinduzi na kiongozi wa Cuba ana miaka 84,na ana miaka takriban 10 toka achukue nafas ya kuitawala nch kwa niaba ya kaka yake ndugu Fidel
Yeye alikuwa waziri wa ulinzi wa cuba kwa miaka 50 ambayo ni rekodi kwa mtu yyte kuwa waziri kwa kipind chote hiko
Yeye husema ata staafu mwaka 2018