Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1964 - Lucky Philip Dube anazaliwa.

Maarufu kama Lucky Dube alikuwa ni mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa rege toka nchini Afrika Kusini.

Aliuwawa kwa kupigwa risasi mwaka 2007.

Ni mwanamuziki pekee wa Regge ambaye hakuwa anatumia kilevi cha aina yoyote ile.
1470204159958.jpg
1470204167822.jpg
1470204172775.jpg
1470204178912.jpg

Namkubali sana
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom