Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni wachache sana hupata bahati kama ya Gerald Ford.

Hapa kwetu Mwinyi nae alipata Urais bila kutegemea.

Alipewa Urais wa Zenji kisha baadae akapata Urais wa Bara na kuwaacha akina Cleopa Msuya, Rashid Kawawa na Ahmed Salim wakipigana vikumbo bila mafanikio ya Urais.
Jina lake na jina la mke wake ni majina ya bahati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom