Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha
Na kuna walio susa nawajua
1470076949949.jpg

Kausha
...........
 
Number 5, Gerald Ford -siku 895 View attachment 374575 alikaa ofisin mnamo August 9, 1974 – January 20, 1977
Huyu yeye aliupata urais kwa bahati sana na hakuwahi hata kuwaza jama angekuja kuwa rais kwa ngekewa hivi
Ilikuwaje!!?
Alikuwa ni seneta na kiongozi wa maseneta wa Republican, mnamo mwaka 1973 skendo ya watergate ilitokea na kumfanya makamu wa rais wa marekan bwana Spiro Agnew kujiuzulu kwa makosa ya rushwa na mengineyo, sheria ina mtaka kiongozi wa chama kwenye senate kushika umakamu wa rais ikiwa makamu ata aachia kiti kwa hiyo ikabidi rais nixon amteue na akawa makamu wa rais

Mnamo mwaka 1974 august presha ilivo kuwa kubwa rais Nixon naye aka jiuzulu na kwakuwa bwana ford alikuwa ndio makam wa rais ikabidi abadili na kuwa rais

Mwaka 1976 aligombea urais lakin akapigwa chini vibaya na ndugu Jmy Carter kwani wana nchi walikasirika alipo msamehe bila mashtaka yoyote Rais mstaafu Nixon
Ni wachache sana hupata bahati kama ya Gerald Ford.

Hapa kwetu Mwinyi nae alipata Urais bila kutegemea.

Alipewa Urais wa Zenji kisha baadae akapata Urais wa Bara na kuwaacha akina Cleopa Msuya, Rashid Kawawa na Ahmed Salim wakipigana vikumbo bila mafanikio ya Urais.
 
Nuber 1, William Henry Harrison-siku 31 View attachment 374602alikaa ofisini mnamo March 4, 1841 – April 4, 1841
Ndiyo rais pekee kukaa madarakani ndani ya mwezi mmoja
Siku ya kuapishwa kwake ali toa koti lake na kuhutubia nje kwenye barafu na baridi kali kwa masaa ma 3
Kutokana na hilo alianza kuapata vichomi na baadaye akafa kwa pneumonia
Alikuwa ndo rais wa kwanza kufariki akiwa madarakani
Na rais wa mwisho aliye zaliwa uingereza kuitawala marekani
Wana sema hakuwa tajiri yaan alikuwa maskini kweli kweli na alioenda sana haki na uongozi tuu na alivo fariki mkewe alipata shida sana na ndipo ilipo pitishwa sheria ya kuwasaidia familia za marais wastaafu
Duuh...huyu nae alikuwa ni wa aina yake!!
 
Ni wachache sana hupata bahati kama ya Gerald Ford.

Hapa kwetu Mwinyi nae alipata Urais bila kutegemea.

Alipewa Urais wa Zenji kisha baadae akapata Urais wa Bara na kuwaacha akina Cleopa Msuya, Rashid Kawawa na Ahmed Salim wakipigana vikumbo bila mafanikio ya Urais.
Hahahaha
Kweli
Au Nigeria bwana Goodluck jonatah
Alikuwa naibu gavana gavana akafa, aka rithu ugavana
Makam wa rais aka jiuzulu
Aka pewa umakam
Rais akafa
Aka pata urais
Hahahaha ni wachache kwel kweli
 
Ni wachache sana hupata bahati kama ya Gerald Ford.

Hapa kwetu Mwinyi nae alipata Urais bila kutegemea.

Alipewa Urais wa Zenji kisha baadae akapata Urais wa Bara na kuwaacha akina Cleopa Msuya, Rashid Kawawa na Ahmed Salim wakipigana vikumbo bila mafanikio ya Urais.
1470077555004.jpg
Hata Rais Mapombe Makufuli km zali vile mwanangu kawa rais kaanza utemi
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
 
Back
Top Bottom