Kubonga ndo mpango mzima.
Mi nakunywa kwa kufuatisha usemi "drink responsible"..... Sinywagi kwa sifa hata viroba na gongo sijawahi kugusaHahahah
Kuna line ndogo sana hapo ya utofaut
HahahahaMi nakunywa kwa kufuatisha usemi "drink responsible"..... Sinywagi kwa sifa hata viroba na gongo sijawahi kugusa
![]()
![]()
![]()
..........
Hahahaha
Hahahaha
Sawa endelea kuwa makini
Pia nawe uende kwa gwajima kwa maombi zaid
Karibu.
Lakin gongo ina chakaza sana mwili ujue
HahahahaItakuwa anapika huyo.
![]()
![]()
![]()
![]()
Huku uswahilini kwetu tunazika tu watu.....gongo linaunguza maini asikwambie mtu ukionja vizibo vi3 tu unalewaLakin gongo ina chakaza sana mwili ujue
HahahahaHuku uswahilini kwetu tunazika tu watu.....gongo linaunguza maini asikwambie mtu ukionja vizibo vi3 tu unalewa
![]()
![]()
![]()
..............
Asante hii sijaiona kabla emu nielewesheKaribu ukapukuni
Stress free zone
..............
Nenda page 1 post 1-3 utaelewaAsante hii sijaiona kabla emu nieleweshe
HahahahaNenda page 1 post 1-3 utaelewa
..............
Labda kama ingekuwa Gongo la Mboto.
