Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hanged, Drawn, and Quartered
View attachment 372126
Hiii ndio ilikuwa kiboko
Kwanza mtu alinyongwa na kama ana karibia kabisa kifa walimtoa kamba
Then walimzamisha na kumtoa kwenye maji ili kunyima hewa

Halafu wali mhasi kwa ku mtoa dushe na ku choma dushe yake huku na yeye aki shuhudia tukio hilo

Na wali malixa kwa kumfunga kwa kamba na ku ziunganisha kwenye farasi then waliamuru farsi ziondoke na zilimvuta kwa nguuuvuuu hadi alipo kuwa vipande vipande

Wana sema hii ilitumiwa sana huko England kipind cha vita za miaka ya 1600 na ili kuja kupigwa marufuku mwaka 1814
Bora walivyoipiga marufuku
 
Cement Shoes
View attachment 372060
Hii ilitumiwa sana na wa amerika wa ki Mafia ambao walikuwa waki kukamata wana weka miguu kwenye kitu kama tofali kubwa halafu wana mwaga sumenti na wana subir hadi ikauke
The wana kuchukua wanaenda kuku tupa katikat ya bahari, mto mkubwa au ziwa
Apo huponi
Hizi mbinu walikuwa wanatoa wapi??
 
Thanks alot wakuu
Hii si kazi rahisi

Na wakubali watu woote wa segment za asubuhi hasa mussolin na My Jimena Jimenez nawakubali sana na nna washukur kwa moyo wenu wa kujituma na kaz fresh segment zenu ndo bora zaid nadhan hapa


Then asante kwa wengne woote wakuu
Zote ni bora amini hivyo. Asante sana kwa 10 kubwa zilikuwa zenye mguso wa kipekee
 
Rat Torture
View attachment 372048
Kukaa na panya tuu jamani ni shida na kwa wale wenzangu walo wahi ku ng'atwa na panya wana jua anavo toboa

Sasa hapo walikuwa wana mchukua mtu wana mfungia kama ki jumba flan hivi kidogo maeneo ya tumbo (au sehem yyte watakayo amua) halafu walikuwa wana weka moto kwa juu ya hiko kijumba (mara nyingi cha bati) sasa ili panya akimbie huo moto ilitakiwa aazime njia kwa kumtoboa huyo mtu (kama vile ambapo huwa ana chimba shimo) hadi afanikiwe kutoka ili kukimbua huo moto
Kumbe hawa hawakuwa binadamu Wa kawaida..loh!!
 
Back
Top Bottom