Makapuku Forum

Makapuku Forum

Cement Shoes
1469640013545.jpg

Hii ilitumiwa sana na wa amerika wa ki Mafia ambao walikuwa waki kukamata wana weka miguu kwenye kitu kama tofali kubwa halafu wana mwaga sumenti na wana subir hadi ikauke
The wana kuchukua wanaenda kuku tupa katikat ya bahari, mto mkubwa au ziwa
Apo huponi
 
Breast Ripper
1469640254435.jpg

Hiii na kopi jamani kama ilivo

"Though women were also subject to many of the torture techniques on this page, this is one that was specifically designed for them. Used to cause major blood loss, the claws, which were often red hot, would be placed on the exposed breasts as the spikes penetrated beneath the skin. It would then be pulled or jerked causing large chunks of flesh to come off with it."
 
The Chair of Torture
View attachment 372056
Au walikuwa wana kiita kiti cha Yuda kili tumika huko Europa mika ya 1500-1800 kiti hiko kili wekwa vyuma zai ya 500 na kili acgwa nafasi kwa ajili ya kuruhusu moto ulo kuwa ukiekwa chini ya kiti

Hii ilitumika kumuua mtu at least ili wale walo baki wa confess kitu kinacho hitajika
1469640314805.jpg
1469640328880.jpg
1469640334914.jpg
 
Crocodile Shears
1469640356257.jpg

Hii ilikuwa inatumika kumpa mtu ulemavu wa moja kwa moja au ku mhasi mtu alo msaliti mfalme

Sasa waliipiga moto sanaa mpaka iwe nyekundu alafu wali bana sehemu husika(lets say dushe sasa hapo) halafu wana ivuta kwa nguvu ili kumng'oa bwana dushe
Na hapo ndi huwa mwisho wa stori ya mtu kuitwa mwanaume
 
Breast Ripper
View attachment 372064
Hiii na kopi jamani kama ilivo

"Though women were also subject to many of the torture techniques on this page, this is one that was specifically designed for them. Used to cause major blood loss, the claws, which were often red hot, would be placed on the exposed breasts as the spikes penetrated beneath the skin. It would then be pulled or jerked causing large chunks of flesh to come off with it."
1469640946674.jpg
1469640959079.jpg
1469640973371.jpg
 
Guillotine
View attachment 372013
Hii ilikuwa kitu chenye ncha kali kama wembe lakini kikukvwa na cha chuma kina tumika

Mtu alikuea ana wekwa kwenye ubao ana lazwa na li jembe hilo lina achiwa kwa nguvu na kumkata kichwa , kiuno or what ever

Wana sema hii ilikuwa ni njia ya kumuua mtu kwa heshima kwan maumivu yalikuwa machache (siyo kwamba huumii una umia sana tena ila si sana kama njia nlizo tangulia kuonesha jana) na pia ilikuwa mtu ana kufa ndani ya dakika kadhaa hvo kwa watu walio waonea huruma kitu hiyo ilitumika

Maeneo kama ulaya , quing dynast na ancient Korean kingdoms (baekje,silla,Gugryeo etc) wali zitumia
Bora tuliozaliwa siku hizi
 
The Rack
View attachment 372019
Hii bwana iliwekwa ku dislocate joint zoote za mtuhumiwa , kwa hiyo mtu alifungwa mikono na miguu na watu walikuwa wakizi nyonga/wakizivuta/wakizizungusha mpaka waone maungio yote ya miguu na mikono yamehama na walikuwa ili kama kweli wame ku dislocate wana fanya kuhakikisha kwa ku nyonga kamba hadi miguu au mikono igeuke kabisa
Kama movie jamani
 
Republican Marriage
1469640839199.jpg

Hii walii tumia sana kina Jean-Baptiste Carrier wakati wa French Revolution walichofanya ni kumchukua mwanaume na mwana mke wana wavua nguo na kuwafunga kamba(lilifanyika hadharani kabsa) halafu wana watupia kwenye barafu au maji ya barudi sana wakafie mbele huko kama hamna maji wali tega mapanga tuu na kuwa ua kwa pamoja
Hii waliitumia sana kwa ma sista na ma padre walo jifanya wana enda kinyume nao
 
Tongue Tearer
View attachment 372046
Hii ilikuwa ki toa ulimi, wali kuwa wana weka mashine inayo fungua mdomo kwa nguvu, halafu inaingizwa hii kitu kwa ulazima na ikisha kamata ulimi wana iforce kwa nguuvuu na wana ukoroga ulimi halafu wana ung'oa. Maumivu yake utasimulia hadi akhera nakwambia
Ha ha ha yani nimecheka sana japo ni tukio la kusikitisha
 
Rat Torture
View attachment 372048
Kukaa na panya tuu jamani ni shida na kwa wale wenzangu walo wahi ku ng'atwa na panya wana jua anavo toboa

Sasa hapo walikuwa wana mchukua mtu wana mfungia kama ki jumba flan hivi kidogo maeneo ya tumbo (au sehem yyte watakayo amua) halafu walikuwa wana weka moto kwa juu ya hiko kijumba (mara nyingi cha bati) sasa ili panya akimbie huo moto ilitakiwa aazime njia kwa kumtoboa huyo mtu (kama vile ambapo huwa ana chimba shimo) hadi afanikiwe kutoka ili kukimbua huo moto
Kama ingekuwa kweli shetani yupo basi ningesema hao wanaofanya hayo ni ndugu zake ila tatizo hayupo na watu hufanya yote hayo kwa utashi wao
 
The Chair of Torture
View attachment 372056
Au walikuwa wana kiita kiti cha Yuda kili tumika huko Europa mika ya 1500-1800 kiti hiko kili wekwa vyuma zai ya 500 na kili acgwa nafasi kwa ajili ya kuruhusu moto ulo kuwa ukiekwa chini ya kiti

Hii ilitumika kumuua mtu at least ili wale walo baki wa confess kitu kinacho hitajika
Yani wanaua ili wengine wafunguke? aisee hii sio sawa
 
Crocodile Shears
View attachment 372069
Hii ilikuwa inatumika kumpa mtu ulemavu wa moja kwa moja au ku mhasi mtu alo msaliti mfalme

Sasa waliipiga moto sanaa mpaka iwe nyekundu alafu wali bana sehemu husika(lets say dushe sasa hapo) halafu wana ivuta kwa nguvu ili kumng'oa bwana dushe
Na hapo ndi huwa mwisho wa stori ya mtu kuitwa mwanaume
1469641678813.jpg
1469641685157.jpg
1469641690006.jpg
 
The Breaking Wheel
1469641194520.jpg

Hii iliitwa kwa jina jingine Catherine Wheel, na ilikuwa mtuhumiwa ana wekwa muguu yaje na mikono kwejye spoko za magurudumu halafu yana nyongwa au yana zungushwa tartiiibuu hadi miguu na mikono ivunjike vipande vipande na kama haija vunjika sana mtesaji alijiongeza kwa kutumia nyundo kuhakikisha hauna kilicho baki kwenye mguu

Sasa baada ya hapo kilicho fuata ilikuwa mtu huyo anatundikwa juu ili ndege wa mle akiwa mzima mzima, na akiwa bado wa moto sasa hii ilikuwa inachukua zaid hata ya siku 3 au 5

Na ilikuwa kama mtu hafi kwa kuwa alikuwa akiugulia maumivu makubwa wana mpa sumu, au wana muua kwa panga ili kupunguza maumivu ila hapo kama akiwa kakaa sana bila kuliwa na ndege yyte
 
Cement Shoes
View attachment 372060
Hii ilitumiwa sana na wa amerika wa ki Mafia ambao walikuwa waki kukamata wana weka miguu kwenye kitu kama tofali kubwa halafu wana mwaga sumenti na wana subir hadi ikauke
The wana kuchukua wanaenda kuku tupa katikat ya bahari, mto mkubwa au ziwa
Apo huponi
Unaenda kuwa chakula ya mamba
 
Crocodile Shears
View attachment 372069
Hii ilikuwa inatumika kumpa mtu ulemavu wa moja kwa moja au ku mhasi mtu alo msaliti mfalme

Sasa waliipiga moto sanaa mpaka iwe nyekundu alafu wali bana sehemu husika(lets say dushe sasa hapo) halafu wana ivuta kwa nguvu ili kumng'oa bwana dushe
Na hapo ndi huwa mwisho wa stori ya mtu kuitwa mwanaume
Hii sasa ni too much
 
Back
Top Bottom