Hanged, Drawn, and Quartered
View attachment 372126
Hiii ndio ilikuwa kiboko
Kwanza mtu alinyongwa na kama ana karibia kabisa kifa walimtoa kamba
Then walimzamisha na kumtoa kwenye maji ili kunyima hewa
Halafu wali mhasi kwa ku mtoa dushe na ku choma dushe yake huku na yeye aki shuhudia tukio hilo
Na wali malixa kwa kumfunga kwa kamba na ku ziunganisha kwenye farasi then waliamuru farsi ziondoke na zilimvuta kwa nguuuvuuu hadi alipo kuwa vipande vipande
Wana sema hii ilitumiwa sana huko England kipind cha vita za miaka ya 1600 na ili kuja kupigwa marufuku mwaka 1814