Makapuku Forum

Makapuku Forum

The Breaking Wheel
View attachment 372084
Hii iliitwa kwa jina jingine Catherine Wheel, na ilikuwa mtuhumiwa ana wekwa muguu yaje na mikono kwejye spoko za magurudumu halafu yana nyongwa au yana zungushwa tartiiibuu hadi miguu na mikono ivunjike vipande vipande na kama haija vunjika sana mtesaji alijiongeza kwa kutumia nyundo kuhakikisha hauna kilicho baki kwenye mguu

Sasa baada ya hapo kilicho fuata ilikuwa mtu huyo anatundikwa juu ili ndege wa mle akiwa mzima mzima, na akiwa bado wa moto sasa hii ilikuwa inachukua zaid hata ya siku 3 au 5

Na ilikuwa kama mtu hafi kwa kuwa alikuwa akiugulia maumivu makubwa wana mpa sumu, au wana muua kwa panga ili kupunguza maumivu ila hapo kama akiwa kakaa sana bila kuliwa na ndege yyte
1469642291567.jpg
1469642307964.jpg
1469642309847.jpg
1469642314514.jpg
1469642322141.jpg
 
Republican Marriage
View attachment 372079
Hii walii tumia sana kina Jean-Baptiste Carrier wakati wa French Revolution walichofanya ni kumchukua mwanaume na mwana mke wana wavua nguo na kuwafunga kamba(lilifanyika hadharani kabsa) halafu wana watupia kwenye barafu au maji ya barudi sana wakafie mbele huko kama hamna maji wali tega mapanga tuu na kuwa ua kwa pamoja
Hii waliitumia sana kwa ma sista na ma padre walo jifanya wana enda kinyume nao
Nalinda maadili
NO picture
..................
 
Saw Torture
1469642077425.jpg

Walikuwa wana mvua mtu nguo zoote na kuchukua msumeno wana anza kazi kwa kumkata tartiibuuu pia
Walimuweka kichwa chini ili damu inavo toka iende kichwani na asipoteze faham
Kwa hiyo mtu alikatwa akiwa mzima mzima na akiugulia mauimivu mwanzo hadi mwisho wa uhai wake
Na ili kumfanya aumie zaid na akae mda mrefu zaid wakataji waliishia tumboni tuuu

Hiki ndio kifo alicho kipata st paul huko Roma
 
Mbona ulimi hata misukule huwa wanakatwa hao watu bado wapo kabisa yaani ni ukatili kwenda mbele na yule aliyemuua mkewe kisha akamtoa maini na moyo yupo kwenye list pia
 
Saw Torture
View attachment 372112
Walikuwa wana mvua mtu nguo zoote na kuchukua msumeno wana anza kazi kwa kumkata tartiibuuu pia
Walimuweka kichwa chini ili damu inavo toka iende kichwani na asipoteze faham
Kwa hiyo mtu alikatwa akiwa mzima mzima na akiugulia mauimivu mwanzo hadi mwisho wa uhai wake
Na ili kumfanya aumie zaid na akae mda mrefu zaid wakataji waliishia tumboni tuuu

Hiki ndio kifo alicho kipata st paul huko Roma
1469643048339.jpg
1469643052572.jpg
1469643057258.jpg
 
Hanged, Drawn, and Quartered
1469642778200.jpg

Hiii ndio ilikuwa kiboko
Kwanza mtu alinyongwa na kama ana karibia kabisa kifa walimtoa kamba
Then walimzamisha na kumtoa kwenye maji ili kunyima hewa

Halafu wali mhasi kwa ku mtoa dushe na ku choma dushe yake huku na yeye aki shuhudia tukio hilo

Na wali malixa kwa kumfunga kwa kamba na ku ziunganisha kwenye farasi then waliamuru farsi ziondoke na zilimvuta kwa nguuuvuuu hadi alipo kuwa vipande vipande

Wana sema hii ilitumiwa sana huko England kipind cha vita za miaka ya 1600 na ili kuja kupigwa marufuku mwaka 1814
 
Hanged, Drawn, and Quartered
View attachment 372126
Hiii ndio ilikuwa kiboko
Kwanza mtu alinyongwa na kama ana karibia kabisa kifa walimtoa kamba
Then walimzamisha na kumtoa kwenye maji ili kunyima hewa

Halafu wali mhasi kwa ku mtoa dushe na ku choma dushe yake huku na yeye aki shuhudia tukio hilo

Na wali malixa kwa kumfunga kwa kamba na ku ziunganisha kwenye farasi then waliamuru farsi ziondoke na zilimvuta kwa nguuuvuuu hadi alipo kuwa vipande vipande

Wana sema hii ilitumiwa sana huko England kipind cha vita za miaka ya 1600 na ili kuja kupigwa marufuku mwaka 1814
1469643375119.jpg
1469643380149.jpg
 
Thanks alot wakuu
Hii si kazi rahisi

Na wakubali watu woote wa segment za asubuhi hasa mussolin na My Jimena Jimenez nawakubali sana na nna washukur kwa moyo wenu wa kujituma na kaz fresh segment zenu ndo bora zaid nadhan hapa


Then asante kwa wengne woote wakuu
 
Back
Top Bottom