Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu ujue una jiweka hatarin maisha yako, eb jitahid uwatafute wengine nenda kwa kina mss chaga na atoto huko
Ila jimena utapata tabu sana

Aliniacha huyo huyo unayemtaja kwa sababu ya tunayemgombania...ila wewe nakuweza huna madhara wala nini, weka cheti chako hapa na cv ihakikiwe kama mimi jana kisha tumwachie mwenye moyo wake aamue...
 
Zuzu alioa mke mwerevu sana.

Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:

Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu![emoji15]

Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.

Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?

Mume: Minne na nusu tu!

Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!

Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?

Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.

Loooohhhh...... [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Zuzu alioa mke mwerevu sana.

Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:

Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu![emoji15]

Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.

Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?

Mume: Minne na nusu tu!

Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!

Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?

Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.

Loooohhhh...... [emoji125][emoji125][emoji125]
Hili kweli zuzu
 
Zuzu alioa mke mwerevu sana.

Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:

Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu![emoji15]

Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.

Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?

Mume: Minne na nusu tu!

Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!

Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?

Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.

Loooohhhh...... [emoji125][emoji125][emoji125]

Uuuuwiii...Zuzu chenga sana!
 
wakuu samahani, naomben mmoja anielez jinsi gani ya kumtag mtu inanitatiza sana
 
Bitoz thanks. Nilijua itaonyesha utofaut flan kumbe ni kawaida tu km maneno mengine.
 
Zuzu alioa mke mwerevu sana.

Mara baada ya miezi minne na nusu mke aka zaa. Zuzu akazusha kweli:

Mume: Nitakupa talaka uende kwenu. Utazaaje mtoto baada ya miezi minne na nusu. Kwani ni kuku wa kizungu![emoji15]

Mke: Mswalie mtume mume wangu, hebu kaa chini tufanye hisabu.

Wewe tangu unioe ni miezi mingapi?

Mume: Minne na nusu tu!

Mke: Na mimi tangu niolewe ni miezi mingapi?
Mume: Minne na nusu!

Mke: Sasa "nne na nusu na nne na nusu"total ni miezi mingapi?

Mume: Loooooo sorry darling, wallahi nilikua nisha kudhania vibaya.

Loooohhhh...... [emoji125][emoji125][emoji125]
1469469772749.jpg

Hana tofauti na Babu jinga
...........
 
Back
Top Bottom