Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.

John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
Mi kusema kweli NATO siwakubali sana wala nini
 
Leo katika Historia:

1957 - Tunisia yawa Jamhuri.

Ni nchi inayopatikana kaskazini mwa Africa.
1469425645545.jpg
1469425650141.jpg
 
Back
Top Bottom