Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Leo katika Historia:
1993 - Israel inaivamia Lebanon katika kile kilichojulikana " Operation Accountability "
Na Lebanon wanatangaza vita ya siku saba dhidi ya Israel.
Leo katika Historia:
1993 - Israel inaivamia Lebanon katika kile kilichojulikana " Operation Accountability "
Na Lebanon wanatangaza vita ya siku saba dhidi ya Israel.
Leo katika Historia:
1993 - Saint James Church Massacre
Kunatokea mauaji huko Capetown, South Africa ambapo watu 11 wanafariki na 58 kujeruhiwa.
Himena hv unamfahamu hyena?Morning all
Leo katika Historia:
1996 - Kunatokea Mapinduzi ya Kijeshi nchini Burundi ambapo Pierre Buyoya anaingia madarakani baada ya kufanikiwa kuipindua serikali iliyokuwa madarakani.
Mnyama?? NamjuaHimena hv unamfahamu hyena?
Hii salamu subiria mpaka niongezeke miaka 5 zaidi..... Salamu za mamwinyi hizi
Leo katika Historia:
2000 - Ndege ya Ufaransa " Concorde Air france flight 4590 " inapata ajali uwanja wa ndege wa Charles De Gaulle jijini Paris na kuua abiria 113.
Vp lakin?Mnyama?? Namjua
Leo katika Historia:
2003 - A.P.J Abdul Kalam anakuwa Rais wa 11 wa India.
Jamani hatakunisifia kuwa nmetupia post ya 73k yesterday lakn wap..!Sina la ziada. Tukutane kesho kwa udhamini wa nguvu wa Shululu mzee wa Hijab.
Leokatika Historia:
2007 - Pratibha Patil anaapishwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini India.
Leo katika Historia:
2010 - Wikileaks inatoa taarifa za siri hadharani kuhusu Marekani kuivamia vita ya Iraq.
Moja kati ya siri muhimu kuwahi kuvujishwa nchini Marekani.
Leo katika Historia:
2010 - Wikileaks inatoa taarifa za siri hadharani kuhusu Marekani kuivamia vita ya Iraq.
Moja kati ya siri muhimu kuwahi kuvujishwa nchini Marekani.