Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1993 - Israel inaivamia Lebanon katika kile kilichojulikana " Operation Accountability "

Na Lebanon wanatangaza vita ya siku saba dhidi ya Israel.
1469426439855.jpg
1469426445319.jpg
1469426449985.jpg
 
Hii salamu subiria mpaka niongezeke miaka 5 zaidi..... Salamu za mamwinyi hizi

Zamani enzi babangu alikuwa anamchumbia mpendwa mke wake ambaye ni mama yangu mambo yalikuwa tofauti sana...ilikuwa akimwita tu '...rabeka mume wangu...' siku hizi mambo yamebadilika sana! Utasikia wee Kokuteka embu niangalizie maharage jikoni huko naenda kumsuta jirani!
 
Leokatika Historia:

2007 - Pratibha Patil anaapishwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini India.
1469427713807.jpg
1469427717865.jpg

Leo katika Historia:

2010 - Wikileaks inatoa taarifa za siri hadharani kuhusu Marekani kuivamia vita ya Iraq.

Moja kati ya siri muhimu kuwahi kuvujishwa nchini Marekani.
 
Back
Top Bottom