Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Leo katika Historia:
1985 - Hugo Rodallega anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Wigan, Fulham na Timu ya taifa ya Colombia.
Leo katika Historia:
1985 - Hugo Rodallega anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Wigan, Fulham na Timu ya taifa ya Colombia.
Leo katika Historia:
1986 - Hulk anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira toka nchini Brazil.
Anasifika kwa umbo kubwa na nguvu inayomfanya awe na uwezo wa kupiga sana Mashuti.
Na kwako pia mkuujuma tatu njema wadau
Leo katika Historia:
1987 - Fernando anazaliwa.
Ni kiungo wa kukaba toka klabu ya Man city na timu ya taifa ya Brazil.
Hili dege naskia lilikua linakimbia hatariLeo katika Historia:
2000 - Ndege ya Ufaransa " Concorde Air france flight 4590 " inapata ajali uwanja wa ndege wa Charles De Gaulle jijini Paris na kuua abiria 113.
Hivi briz una undugu na Chris Brown?Niaje humu ndani?
Leo katika Historia:
1988 - Paulinho anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Brazil.
Aliwahi kucheza Tottenham ya Uingereza.
Hivi hizi 'nho' niaje huko brazil.. Na mi ningezaliwa huko wangeniita briznho [emoji4] [emoji4]Leo katika Historia:
1988 - Paulinho anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Brazil.
Aliwahi kucheza Tottenham ya Uingereza.
Tuonane baadayeSina la ziada. Tukutane kesho kwa udhamini wa nguvu wa Shululu mzee wa Hijab.
Haha undugu upo.. Namuita mpwa yule, niaje lakin?Hivi briz una undugu na Chris Brown?
Niko poa, naona tumebaki wawili jukwaanHaha undugu upo.. Namuita mpwa yule, niaje lakin?
Poa kaka komaa, mawe ndo kila kituTuonane baadaye
Nipo Town natafuta mawe
Siku njema Kapukuz wote
........................................ .......
Respect sana MASHUJAA wetu [emoji111] [emoji111] [emoji111]Leo katika Historia:
Ni siku ya Mashujaa nchini Tanzania.
Tunakumbuka mashujaa wetu waliojitolea Uhai wao kwa ajili ya usalama wetu.
Pia tunaadhimisha siku ambayo majeshi yetu yalirudi nyumbani toka kwenye vita ya Kagera.
Hata hivo na mi nakuacha kidogo mzee wa kutambaring, nice time ntarud bdae kidogoNiko poa, naona tumebaki wawili jukwaan
Mia.. [emoji106][emoji106]pamoja sana mkuu.
Hata mm ndo ninasepa hvyo so mpk badaeHata hivo na mi nakuacha kidogo mzee wa kutambaring, nice time ntarud bdae kidogo
Nilipata udhuru kidogo sikwenda.Thanks, ulikumbuka kwenda kanisani?
Ahsante kwa mazagetiView attachment 370592View attachment 370593
Mpaka hapo basi sina la ziada, shukrani zimwendee Mussolin5 kwa udhamini mkubwa kabisa.....
Niite Jimena Jemenes
Nakutakia siku njema na wiki yenye mfanikio
Adios