Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469424607642.jpg
1469424618752.jpg
1469424625674.jpg

Kwa hisani ya Mussolin5 haya ndio magazeti yetu ya leo
 
Leo katika Historia:

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.

John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
 
Back
Top Bottom