Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndo hyo kapuku we ulizani ni mambo ya vita hapaaa
Mimi siyo msomaji wa hadithi....ndio maana sioni km unamkwaza mtu 7bu kuisoma ni hiyari yake kwanza hadithi ni ndefu na hadi mtu akute mambo mazito ujue kaifuatilia
Humu tunajisimamia wenyewe isipokuwa huwa tunawareport wapuuzi na waweka picha za uchi na matusi
................
 
Alafu pia kuanzia leo jioni nataka nilete chombeza niwe naziweka kule jukwaa la wakubwa ili wanaozipenda pia wawe wanakuja kule kusoma.
Maana cyo wote wanaopenda za upelelezi tu.
Hapa siwezi kuziweka kulingana na sheria.
Hvyo mzigo ntakuwa naushusha kule alaf ntakuwa nakuja hapa kuwashtua
Ukiweka chombezo hapa utasababisha uzi uhamishiwe jukwaa pendwa basi ni heri ulete hadithi ya mapenzi ila sio chombezo
 
Alafu pia kuanzia leo jioni nataka nilete chombeza niwe naziweka kule jukwaa la wakubwa ili wanaozipenda pia wawe wanakuja kule kusoma.
Maana cyo wote wanaopenda za upelelezi tu.
Hapa siwezi kuziweka kulingana na sheria.
Hvyo mzigo ntakuwa naushusha kule alaf ntakuwa nakuja hapa kuwashtua
Unaweza kuweka hapa hadithi za mapenzi pia lakini usiweke chombezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom