Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
RespectedMi nashauri hadithi achanganye kama vipi ziwe zinawekwa za aina zote ila hapa asipost chombezo
Mi sikuelewa kwamba ni mtomboko
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...,.. .. .....
RespectedMi nashauri hadithi achanganye kama vipi ziwe zinawekwa za aina zote ila hapa asipost chombezo
Mi naongelea experience. Sababu yamimi kujiunga na hilo jukwaa ni hayo machombezo. Nilikuwa nayafatilia yakiwa MMU matokeo yake baadae wanahamisha jukwaa.Mimi siyo msomaji wa hadithi....ndio maana sioni km unamkwaza mtu 7bu kuisoma ni hiyari yake kwanza hadithi ni ndefu na hadi mtu akute mambo mazito ujue kaifuatilia
Humu tunajisimamia wenyewe isipokuwa huwa tunawareport wapuuzi na waweka picha za uchi na matusi
................
Ndio maana yakePoa haters ndo watapata 7bu ya uzi ufutwe
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.............
Ye mwenyewe kikofia anajua vyema ndio maana alisema anaweka hukoMi nilijua mapenzi kumbe chombezo na mapenzi ni tofauti
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...........
Yani ni sheeederRespected
Mi sikuelewa kwamba ni mtomboko
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...,.. .. .....
Sikujua maana ya chombezoMi naongelea experience. Sababu yamimi kujiunga na hilo jukwaa ni hayo machombezo. Nilikuwa nayafatilia yakiwa MMU matokeo yake baadae wanahamisha jukwaa.
Sasa kwa jinsi tunavyopendwa na watu fulani fulani kikofia akiweka chombezo hapa basi itakuwa mawili, either kuhamishiwa JLW au uzi kupigwa pin kwa sababu tutakuwa tumekiuka masharti
Ushauri wangu, hapa zije hadithi za aina zote ila sio hizo.
jonax anajua vyema kuhusu hilo maana yeye ni shahidi mkubwa wa hilo kwavile nae ni mfatiliaji wa hizo stories.
M t o m b o k o[emoji85]Respected
Mi sikuelewa kwamba ni mtomboko
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...,.. .. .....
Ndio maana yake
Ye mwenyewe kikofia anajua vyema ndio maana alisema anaweka huko
OKYani ni sheeeder
Kujihami nako[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Sikujua maana ya chombezo
Mi sipo jukwaa la wakubwa
.............
M t o m b o k o[emoji85]
Basi imeeleweka haitawekwaKujihami nako[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hongera yake
Ok,nmeona nilete hadithi za mapenzi tu hapa alaf chombezo nitakuwa naitupia kule kwenye jukwaa la wakubwa alaf ntakuwa nawashitua hapa kila nikipost kule..Ukiweka chombezo hapa utasababisha uzi uhamishiwe jukwaa pendwa basi ni heri ulete hadithi ya mapenzi ila sio chombezo
Ngoja pia niangalie ustaarabu wa kuleta hapa hadithi za vichekesho ili nikidhi mahitaji ya kila muhusikaHapana mkuu.....sijasoma ht episode 1
Me mdau wa vituko
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
................
Chombezo ni zaidi ya hadithi ya kimapenzi mara kumi yake.Mi nilijua mapenzi kumbe chombezo na mapenzi ni tofauti
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...........
[emoji41] ngoja tu niwe naleta hadithi za kimapenzi tu kuliko chombezo.Mi naongelea experience. Sababu yamimi kujiunga na hilo jukwaa ni hayo machombezo. Nilikuwa nayafatilia yakiwa MMU matokeo yake baadae wanahamisha jukwaa.
Sasa kwa jinsi tunavyopendwa na watu fulani fulani kikofia akiweka chombezo hapa basi itakuwa mawili, either kuhamishiwa JLW au uzi kupigwa pin kwa sababu tutakuwa tumekiuka masharti
Ushauri wangu, hapa zije hadithi za aina zote ila sio hizo.
jonax anajua vyema kuhusu hilo maana yeye ni shahidi mkubwa wa hilo kwavile nae ni mfatiliaji wa hizo stories.
Tumeishawlewana......Chombezo ni zaidi ya hadithi ya kimapenzi mara kumi yake.
[emoji85] Yan haina tofauti na porno[emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumeishawlewana......
Mi mwanzo sikujua chombezo inakuwaje na sijawahi kusoma
......................
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Safi sana mtoto mzuri, baki na tabia hiyo hiyo..
Usimuige Jimena atakufundisha tabia mbayaa