Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469367223202.jpg
 
Alafu pia kuanzia leo jioni nataka nilete chombeza niwe naziweka kule jukwaa la wakubwa ili wanaozipenda pia wawe wanakuja kule kusoma.
Maana cyo wote wanaopenda za upelelezi tu.
Hapa siwezi kuziweka kulingana na sheria.
Hvyo mzigo ntakuwa naushusha kule alaf ntakuwa nakuja hapa kuwashtua
We weka hapahapa hiyo ni hadithi siyo picha.....mtu kuisoma au kutoisoma ni HIYARI YAKE

.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom