Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Hahahahaaiseee!
Basi mm nitajiita Jonah del Jambilo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Del Jambilo
Hatareeee
Hahahahaaiseee!
Basi mm nitajiita Jonah del Jambilo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sizitaki mbichi hizi....Tuonane 80k
hizi ndogondogo nawaachia wenzangu wa mchangani.






Hapa sasa ndo umeongea pointHahaha najua, nacho inabidi nijitutumue kukijua mana hakuna namna sasa
Unajua hata kwenye football kuna kitu kinaitwa " Fair Play "Wera wera..........
Nmeshatupia 73k
AaahCc @sczesny ni nini hicho kilichosifiwa vizuri

Ila leo Mzee wa kutambaring kafanya yake mbele ya Ak47Askari hasinzii akiwa lindo huku akimiliki Ak47 mkononi.
Hahaha mkuu wakati ukistaajabu ya musa ndo unakutana na ya jonaxHahahaha
Del Jambilo
Hatareeee
sana mkuuAmetisha sanaa briz
Sasa itakuwaje! Itabidi tu ujikaze maana hamna namnaJamani! jamani! mi mkitaja neno UCHAWI najikuta natetemeka bila sababu.
Yani nmeitupia hii post tayar nkiwa nmeshavaa taulo kwa ajil ya kwenza kuogaDuuhhongera sana kwa 73k
Bibi Bomba Chura
Eti anadai nimemzidi maneno matamuCc @sczesny ni nini hicho kilichosifiwa vizuri
Yani nmeitupia hii post tayar nkiwa nmeshavaa taulo kwa ajil ya kwenza kuogaDuuhhongera sana kwa 73k
Leo katuweza kikofiaAkirud atakuta manyoya
Mi nimeikosa kidogo tuDuuhhongera sana kwa 73k

Huwezi kuvunja record wwTuonane 80k
hizi ndogondogo nawaachia wenzangu wa mchangani.