Makapuku Forum

Makapuku Forum

1469295299984.jpg
 
Mwanariadha mwenye kasi zaidi Duniani anayeshikilia ubingwa wa Dunia na ule wa Olympic Usain Bolt,bado hajakata tamaa ya kuitumikia Manchester United.

Bolt amejisifu kuwa anajua kucheza soka na anauweza kwa kiasi kikubwa sana, isipokuwa riadha ilimtoa mapema.

Je akisajiliwa Manchester United atacheza no? Au atakuwa anakimbia kimbia tu?

Cc,jimena, bitoz
 
Mwanariadha mwenye kasi zaidi Duniani anayeshikilia ubingwa wa Dunia na ule wa Olympic Usain Bolt,bado hajakata tamaa ya kuitumikia Manchester United.

Bolt amejisifu kuwa anajua kucheza soka na anauweza kwa kiasi kikubwa sana, isipokuwa riadha ilimtoa mapema.

Je akisajiliwa Manchester United atacheza no? Au atakuwa anakimbia kimbia tu?

Cc,jimena, bitoz
Habari ya kindezi

.......
 
Mwanariadha mwenye kasi zaidi Duniani anayeshikilia ubingwa wa Dunia na ule wa Olympic Usain Bolt,bado hajakata tamaa ya kuitumikia Manchester United.

Bolt amejisifu kuwa anajua kucheza soka na anauweza kwa kiasi kikubwa sana, isipokuwa riadha ilimtoa mapema.

Je akisajiliwa Manchester United atacheza no? Au atakuwa anakimbia kimbia tu?

Cc,jimena, bitoz
Bolt ye angekimbia tu maswala ya soka awaachie akina Bale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom