Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Namfahamu vyema sana balozi huyuNUKUU NO 1#
Madiba pia alionesha mapenzi makubwa kwa mazingira. Nakumbuka siku moja tukiwa tunatazama mazingira ya ziwa manyara na aliniambia kwa masikitiko kwamba mazingira yale ya kijani kibichi ndio yalikuwa mazingira ya kwao kabla hajaenda gerezani. Alisikitika sana kwamba mazingira hayo yameharibiwa kwa kisingizio cha maendeleo.
Haya yalisemwa na na barozi Ami Mpungwe alipokuwa akimweleza Rais wa kwanza wa Africa Kusikia(mweusi) Nelson Mandela, aliyeiongoza nchi hivyo kuanzia mwaka 1994 hadi 1999.
Mandela alifariki Dunia Dec 5,2013. Barozi Mpungwe alizaliwa mwaka 1950 na aliwahi kuwa barozi wa wa kwanza wa Tanzania nchini Africa kusini, baada ya Mandela kuchaguliwa kuongoza taifa hilo
OKSijapata, chanzo changu hakiyaweki siku hizi sasa sijui kwanini![]()
hata mie nashukuru kuwaona mpo salama mkuu.Ni poa kaka, nimefurah kukuona tena
Nzuri mkuu,vp weekend
Kwema sana mkubwa..Long tym sana...Habari ya wikiendi Makapuku wenzangu!
Mkuu. Mie nipo sana ila majukumu yanabana. Mzima lakini?Kwema sana mkubwa..Long tym sana...
Ni kupambana tu mkuu hamna namna tena...Sisi tupo fit mbaya sana..tunalisukuma mdo mdo tu..Mkuu. Mie nipo sana ila majukumu yanabana. Mzima lakini?
Iko vizuriIko njema sana Mkuu. Vipi kwako?
Tamani sana nipunguze kazi nije huko kupungwa upepo.Ni kupambana tu mkuu hamna namna tena...Sisi tupo fit mbaya sana..tunalisukuma mdo mdo tu..
Mkuu ni mpangilio tu yote yanawezekana kabisa....Karibu sana ndugu...Tamani sana nipunguze kazi nije huko kupungwa upepo.
Asante, naamini ntakuja tu maana ndo home pia.Mkuu ni mpangilio tu yote yanawezekana kabisa....Karibu sana ndugu...
Maskani pande zipi mkuu?Asante, naamini ntakuja tu maana ndo home pia.