EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Makumira pale.Maskani pande zipi mkuu?
Makumira pale.Maskani pande zipi mkuu?
Hahahah kweli wameshakuharibu na lugha kabisa hadi R unaweka L...OK..Maeneo ya Chuoni pale ama buguruni kule ama Kilala mkuu?Makumila pale.
Hahhaaaa....Hahahah kweli wameshakuharibu na lugha kabisa hadi R unaweka L...OK..Maeneo ya Chuoni pale ama buguruni kule ama Kilala mkuu?
Mkuu, Mwanza hawana matumizi ya R.Hahahhahah pamoja sana mkuu...Hahhaaaa....![]()
![]()
Mkuu, Mwanza hawana matumizi ya R.
Pamoja sana kaka.Hahahhahah pamoja sana mkuu...