NUKUU NO 2#
Tangu askofu Aloysius Balina apate daraja la upadre mwaka 1971, alikuwa kiongozi madhubuti wa kiroho pia hakubagua watu na alikuwa mwadilifu katika shughuli zake zote za maendeleo.
Taifa halitamsahau. Alisaidia serikali katika masuala mengi yanayohusu afya na Elimu, akishilikiana vema katika kutafuta wafadhili mbali mbali kutoka ndani na nje ya nchi kukisaidia chuo kikuu cha Bugando, jijini Mwanza.
Haya yalisemwa na Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, Nov 11,2012,wakati wa mazishi ya askofu wa jimbo la shinyanga Aloysius Balina, kilichotokea Nov 6,2012