Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,226
- 39,946
Hii ina ukweli asilimia nyingi sana.
Hii ina ukweli asilimia nyingi sana.
Hata mimi,Yani mm nlkuwa ni mzugaji wa mathematics ile mbayaaa
![]()
![]()
![]()
![]()

Ujumbe vepe??Ametoa song jipya ni hatare kiasi chake!!
Hahahahahaha police na bavicha au wakongwe na makapukuMATOKEO KIDATO CHA SITA, 2016
Shule 10 zilizofanya vizuri:
1.Kisimiri,-Arusha
2.Feza Boys,-Dar es Salaam
3.Alliance Girls,-Mwanza
4. Feza Girls,-Dar es Salaam
5. Marian Boys,-Pwani
6.Tabora Boys,-Tabora
7.Kibaha,-Pwani
8.Mzumbe-Morogoro
9.Ilboru,-Arusha
10.Tandahimba-Mtwara
Shule 10 zilizofanya vibaya:
1.Mpendae-Unguja
2.Ben Bella-Unguja
3.Tumekuja-Unguja
4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
5.Jang'ombe-Unguja
6.Kiembe Samaki-Unguja
7.Tanzania Adventist-Arusha
8.Al- Ishan Girls-Unguja
9.Azania-Dar es Salaam
10.Lumumba-Unguja
Katika shule zilizofanya vizuri 8 ni za jinsi moja na mbili tu ndio mchanganyiko. Na katika shule zilizofanya vibaya 8 ni za mchanganyiko na mbili tu za jinsi moja. Unaelewa nini??
*Mapenzi na Shule ni sawa na Polisi na Bavicha* huwa Haviendani daima!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

MATOKEO KIDATO CHA SITA, 2016
Shule 10 zilizofanya vizuri:
1.Kisimiri,-Arusha
2.Feza Boys,-Dar es Salaam
3.Alliance Girls,-Mwanza
4. Feza Girls,-Dar es Salaam
5. Marian Boys,-Pwani
6.Tabora Boys,-Tabora
7.Kibaha,-Pwani
8.Mzumbe-Morogoro
9.Ilboru,-Arusha
10.Tandahimba-Mtwara
Shule 10 zilizofanya vibaya:
1.Mpendae-Unguja
2.Ben Bella-Unguja
3.Tumekuja-Unguja
4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
5.Jang'ombe-Unguja
6.Kiembe Samaki-Unguja
7.Tanzania Adventist-Arusha
8.Al- Ishan Girls-Unguja
9.Azania-Dar es Salaam
10.Lumumba-Unguja
Katika shule zilizofanya vizuri 8 ni za jinsi moja na mbili tu ndio mchanganyiko. Na katika shule zilizofanya vibaya 8 ni za mchanganyiko na mbili tu za jinsi moja. Unaelewa nini??
*Mapenzi na Shule ni sawa na Polisi na Bavicha* huwa Haviendani daima!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
KF iz tekin ova!!!Hahahahahaha police na bavicha au wakongwe na makapuku![]()
![]()
![]()
![]()

Hahahahahaha police na bavicha au wakongwe na makapuku![]()
![]()
![]()
![]()
Huyu jamaa huwa anatoaga makavu laivu kwenye nyimbo zake, huu mpya naona kamtolea uvivu meneja mmoja wa kundi la tiptopUjumbe vepe??
MATOKEO KIDATO CHA SITA, 2016
Shule 10 zilizofanya vizuri:
1.Kisimiri,-Arusha
2.Feza Boys,-Dar es Salaam
3.Alliance Girls,-Mwanza
4. Feza Girls,-Dar es Salaam
5. Marian Boys,-Pwani
6.Tabora Boys,-Tabora
7.Kibaha,-Pwani
8.Mzumbe-Morogoro
9.Ilboru,-Arusha
10.Tandahimba-Mtwara
Shule 10 zilizofanya vibaya:
1.Mpendae-Unguja
2.Ben Bella-Unguja
3.Tumekuja-Unguja
4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
5.Jang'ombe-Unguja
6.Kiembe Samaki-Unguja
7.Tanzania Adventist-Arusha
8.Al- Ishan Girls-Unguja
9.Azania-Dar es Salaam
10.Lumumba-Unguja
Katika shule zilizofanya vizuri 8 ni za jinsi moja na mbili tu ndio mchanganyiko. Na katika shule zilizofanya vibaya 8 ni za mchanganyiko na mbili tu za jinsi moja. Unaelewa nini??
*Mapenzi na Shule ni sawa na Polisi na Bavicha* huwa Haviendani daima!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




ni kwei kabisa Papaa, mapenzi na shule ni polisi na bavicha ha ha haAksante kwa kutukumbusha mukulu... Maneno kuntu kabisa hayoUSHAURI YAKINIFU KWA WANAUME WENZANGU FANYA HIVI;
1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.
2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.
3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"
4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!
5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.
6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio! au anayependa mauzo kama SIMBA wa sabasaba
7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.
8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!
9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya KARUME au kunywa maji ili uwe MWEUPE huu ni ujinga.
10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
"Being a male is a matter of birth, being a man is a matter of age, but being a gentleman is a matter of choice. A best choice indeed
Aksante kwa kutukumbusha mukulu... Maneno kuntu kabisa hayo

Mith u more papaaNekumithijee!!!