Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hehehe sa D ikiwa ufaulu wale wa A nao wasemeje
Unakuta ma-genious wanabishana wakisema swali limekosewa.
Lakii ww kwa umbulula wako hata hilo ukuliona na unaona liko sawa tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani siwafichi member wenzangu unakuta wenzako wanomba four figure lakini wewe unabaki umehamaki tu
Au na ww unaomba kama kuzuga uone kama na ww umo

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
1468927269215.jpg
 
Unakuta ma-genious wanabishana wakisema swali limekosewa.
Lakii ww kwa umbulula wako hata hilo ukuliona na unaona liko sawa tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani siwafichi member wenzangu unakuta wenzako wanomba four figure lakini wewe unabaki umehamaki tu
Au na ww unaomba kama kuzuga uone kama na ww umo

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tatizo la hesabu ni sugu
 
Back
Top Bottom