lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
We unashuka tu sio??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usiulize ndugu yangu....kanuni zero!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We unashuka tu sio??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usiulize ndugu yangu....kanuni zero!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Fanya hivyo tu maana hamna namna sasaNimejikuta natamani hiyo menu sidhani kama ntaishinda hii tamaa leo
ni morii sistaa mambo niajee...Poa sana
Niajez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu,amegusa mfupa eeh?hahahaha huu sasa uchokozi.
Pole ndugu lakin D ni ufaulu piaMi nimeshakutana na nyakati kama hizo sanaaaa yani wala hazina idadi, kwanza hata D pia sijui niliipataje
Au ameoa??[emoji12] [emoji12]Mkuu za kuadimika ama wamekupanga kamati ya maandalizi dodoma? [emoji2][emoji2]
Nazuga tu kuwa nami nilipata -3 kumbe hamna kituPole Sana mkuu,afu unakomaa kama unalielewa vile..[emoji23]
Poa sanaaaani morii sistaa mambo niajee...
Hehehe sa D ikiwa ufaulu wale wa A nao wasemejePole ndugu lakin D ni ufaulu pia
Superbni morii sistaa mambo niajee...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nimecheka sana, sasa vp kama wakianzia kuuliza kwako?Nazuga tu kuwa nami nilipata -3 kumbe hamna kitu
A ni ufaulu kiwango cha juu [emoji4] [emoji4]Hehehe sa D ikiwa ufaulu wale wa A nao wasemeje
Unakuta ma-genious wanabishana wakisema swali limekosewa.Hehehe sa D ikiwa ufaulu wale wa A nao wasemeje
BaelezeeSuperb
Ila we mbona hulike post za wenzio? Uwe una like buana
Powaaa papaaMambou MULEMBO[emoji4]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Powaaa papaa
Tatizo la hesabu ni suguUnakuta ma-genious wanabishana wakisema swali limekosewa.
Lakii ww kwa umbulula wako hata hilo ukuliona na unaona liko sawa tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani siwafichi member wenzangu unakuta wenzako wanomba four figure lakini wewe unabaki umehamaki tu
Au na ww unaomba kama kuzuga uone kama na ww umo
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]