makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,589
Aahh.. Huyu mtu hatari, yeye na pacha wake, wanapiga ngum nzito, zile za kupoteza u"handsome boy"
Aahh.. Huyu mtu hatari, yeye na pacha wake, wanapiga ngum nzito, zile za kupoteza u"handsome boy"
Mikosi na iwe mbali nanyi makapuku
Siku na iwe ya mafanikio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nawatakia siku njema
Adui zenu na wawe adui za Mungu
Amin mkuu..Amani na ijae mioyoni mwenu
Kumbe umeshaagaLeo sina mengi sana tukutane kesho hapahapa muda kama huu kwa Udhamini wa nguvu wa Roma Mkatoliki.
Mbona kitambo atiKumbe umeshaaga![]()
Acha nami nizisogeze kusukuma gurudumu
AmenNawatakia siku njema
Siku na iwe ya mafanikio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
AmenAdui zenu na wawe adui za Mungu
Amani na ijae mioyoni mwenu