Makapuku Forum

Makapuku Forum

309645955683f914f6ab7ad4d73a719a.jpg
Hivi THINK ni kuwaza au ni kufikiri???
 
Nawazaga hela, nataka niwe nazo mpaka niwe nawaza/fikiri mengine kama kuwapa misaada watu na sio kuwaibia au kugombania nao tena!!!

Kuna swali najiulizaga "Nikiwa na hela nyingi sana then NITAKUWANAWAZAGA NINI TENA???"
Ukishapata hela nyingi sana utaanza kuwazia security yako binafsi na ya wanaokuzunguka na zaidi utaanza kuhitaji recognition
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom