Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,228
- 39,956
Hivi THINK ni kuwaza au ni kufikiri???
Hivi THINK ni kuwaza au ni kufikiri???
Hujambo bibie?Fact
Ukishapata hela nyingi sana utaanza kuwazia security yako binafsi na ya wanaokuzunguka na zaidi utaanza kuhitaji recognitionNawazaga hela, nataka niwe nazo mpaka niwe nawaza/fikiri mengine kama kuwapa misaada watu na sio kuwaibia au kugombania nao tena!!!
Kuna swali najiulizaga "Nikiwa na hela nyingi sana then NITAKUWANAWAZAGA NINI TENA???"
Kufikiri, ingawa na kuwaza nayo inaweza kuwa sawa kulingana na unapoitumia.. Ngoja waje ma-linguistic wakujuze zaidiHivi THINK ni kuwaza au ni kufikiri???
Safi tu, majukumu ya kulijenga taifa yanakwendaje?Za mchana makapuku
Tunabana nayo hivyo hivyoSafi tu, majukumu ya kulijenga taifa yanakwendaje?
That's Bongolandhahaha...
Sijambo, mambo vp?Hujambo bibie?
Salama kabisa, habari ya wewe?Za mchana makapuku
Hakuna kinachoshindikanaYes, wao waweze wana nini? ..mimi nishindwe nina nini???
Kwani akifa ndo hatumuwish tena????![]()
ashadanjaga longi!!!
Haiwezekani kuwa invisible rich man???Ukishapata hela nyingi sana utaanza kuwazia security yako binafsi na ya wanaokuzunguka na zaidi utaanza kuhitaji recognition
Wanasema kuwaza ni ile hali ya kurudia mawazo ya matatizo yanayokuandama HALAFU kufikiri ni kule kuskut kutatua shida au kubuni kitu au idea.Kufikiri, ingawa na kuwaza nayo inaweza kuwa sawa kulingana na unapoitumia.. Ngoja waje ma-linguistic wakujuze zaidi
mdogomdogo tutafika.