Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
A Congolese using mikorogoWho's panicking???[emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
A Congolese using mikorogoWho's panicking???[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inawezakana labda yake yananata, ngoja ntamuuliza lizzie [emoji3][emoji3][emoji3]
Uswahilini noma[emoji12]FIX ZA BITOZ:
Ngongo= Mkongwe/mzee/ajuza
Kibatari= Mmbea
Nyapinyapi= mtu mkware
Mkushi= Mtu kiherehere
Kikwachu= Mpenda sifa/kick
Kibwanyinyo= Mtu
mwenye shobo
Haya Vikwachu Fix za Bitoz zitaendelea kesho muda km huu......msisahau kuvisalimia Vikudwi vyenu...mi nipo na Kishkwambi changu tunakula ubeche
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
...........
Weka picha[emoji4]A Congolese using mikorogo
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
Ni kweli, we have fursa kibao mkuu, kila ukigusa kinaitikaTunakosa ubunifu tu
We Kibatari vpUswahilini noma[emoji12]
Ukimaliza uniazime na mimi hiyo sample kwa majaribio zaidiNitafanya jaribio leo
Zipo nyingi sana mkuuNi kweli, we have fursa kibao mkuu, kila ukigusa kinaitika
Mkuu nawe mkongwe?Hahaaa mkuu mbona tunawaheshimu vizuri na kujali michango yenu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ukimaliza uniazime na mimi hiyo sample kwa majaribio zaidi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Magumu sana hayo maneno, kuyakariri ni kaziFIX ZA BITOZ:
Ngongo= Mkongwe/mzee/ajuza
Kibatari= Mmbea
Nyapinyapi= mtu mkware
Mkushi= Mtu kiherehere
Kikwachu= Mpenda sifa/kick
Kibwanyinyo= Mtu
mwenye shobo
Haya Vikwachu Fix za Bitoz zitaendelea kesho muda km huu......msisahau kuvisalimia Vikudwi vyenu...mi nipo na Kishkwambi changu tunakula ubeche
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
...........
Huwa natamani hayo tuyajadili but wengi naona waona ni upuuziZipo nyingi sana mkuu
Pole sanaJamaa kiboko, nimekomaa lakin wap katuzidi kidogo timing
Nasikia una bwana Ngapinyapi mwenyempenda vishikwambiMagumu sana hayo maneno, kuyakariri ni kazi
Umetishaa[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Ukimaliza uniazime na mimi hiyo sample kwa majaribio zaidi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Utakuwa utetezi wa hovyo sanaWatasema pre season ni sawa na training tu
Nitafanya utafitiHivi ya binadamu yananata???
Eti nauliza Kikudwi chako vpUtakuwa utetezi wa hovyo sana