shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Tunakosa ubunifu tuHIVI KWELI MAISHA NI MAGUMU AU TUNA KOSA UBUNIFU?
Tunakosa ubunifu tuHIVI KWELI MAISHA NI MAGUMU AU TUNA KOSA UBUNIFU?
Jana conte ameanza vibayaMsimu huu utakuwa mzuri sana wazee wa 'mind the gap' watakuwa na maneno mengi
Hahaaa mkuu mbona tunawaheshimu vizuri na kujali michango yenuMpaka waombe poo.....tunavunja rekodi zote kuanzia likes,replies,views![]()
C walituona matakataka sasa tumemaliza nyodo za wakongwe wanafikiri JF ni mali yao au wamerithi kutoka kwa baba zao
Tutaheshimiana tu
.............
Watasema pre season ni sawa na training tuJana conte ameanza vibaya
Siyo wote.......lkn idadi kubwa ya vingongo full nyodoHahaaa mkuu mbona tunawaheshimu vizuri na kujali michango yenu

Mashabiki wa Andunje mkwepa kodi pinguzeni undezi
Kwani nimesema kitu ndugu yangu??? Why too defensive???Mashabiki wa Andunje mkwepa kodi pinguzeni undezi
..........

Kawaida TU....Don't panicKwani nimesema kitu ndugu yangu??? Why too defencive???![]()
Hivi ya binadamu yananata???KWA TAARIFA YAKO
Mate ya kinyonga yananata mara 400 kuliko ya binadamu
Mussolin5Nani alifanikiwa kupata 70k?? Ndo nimerudi sasa
Inawezakana labda yake yananata, ngoja ntamuuliza lizzieHivi ya binadamu yananata???



Nitafanya jaribio leoHivi ya binadamu yananata???