Makapuku Forum

Makapuku Forum

1468775312166.jpg
 
Hahaaa mkuu mbona tunawaheshimu vizuri na kujali michango yenu
Siyo wote.......lkn idadi kubwa ya vingongo full nyodo
Ht mm thread zangu za mwanzo walinitukana sana mmojawapo ni Ngedere Ungabure alinitusi kwa kiingereza chake kichafu wkt sijamkosea MTU
.........................
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
FIX ZA BITOZ:
Ngongo= Mkongwe/mzee/ajuza
Kibatari= Mmbea
Nyapinyapi= mtu mkware
Mkushi= Mtu kiherehere
Kikwachu= Mpenda sifa/kick
Kibwanyinyo= Mtu
mwenye shobo

Haya Vikwachu Fix za Bitoz zitaendelea kesho muda km huu......msisahau kuvisalimia Vikudwi vyenu...mi nipo na Kishkwambi changu tunakula ubeche
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
...........
 
Back
Top Bottom