TETEMEKO BAYA ZAIDI LILILOWAHI KUTOKEA
1) Je wajua?
Tetemeko baya zaidi lililowahi kutokea duniani ni lile la mwaka 1960, huko Valdivia- Chile, ambalo lilisababisha vifo vya watu 1700 nyuma ya tukio la tsunami iliyopoteza maisha ya watu 2000.
Tetemeko hilo lilikuwa na kipicho cha richa 9.4-9.6. Pia lilisababisha hasara ya dola 600 million.
Nchi ya Chile inajulikana kama nchi ya MATETEMEKO
View attachment 366590View attachment 366591