Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Nami nnamiss sana jamani
Rafiki naona upo kusapoti uzi wetu
Vp ile kesi yako ya makonda imeisha!!!!????
Kuna sshogga humu umemsoma!Haya ngoja tuone!!
Nzuri kwema humuPoa kabisa
Habari ya kupotea
SijakusomaRafiki naona upo kusapoti uzi wetu
mkuuMkuu...Kwema taarifa yako hii imeniacha na maswali sana...Kuna sshogga humu umemsoma!
makonda huyu huyu wa mzizima???Vp ile kesi yako ya makonda imeisha!!!!????
makondakta kakataza kuwa watu types yenu tusiwafollow
nkuru nakuona

Ni salamu tu mkuuSijakusomamkuu
Namaanisha kuwa mtu anayeacha mambo yake na kujipeleka kwa jirani kutafuta umbea ni tabia za kishoga...humwoni huyo jamaa hapo juu anayetubeza kf?Mkuu...Kwema taarifa yako hii imeniacha na maswali sana...
cool sana mkuu jonax tupia nyingi unavoweza afu ukihisi umetosheka uache.nkuru nakuona![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu wa mkoa wa Dar,,,anatafuta watu kama wewe maana alishapiga marufuku watu wenye tabia kama yakomakonda huyu huyu wa mzizima???
OwkeyNi salamu tu mkuu

naamini wengi mmeielewa tofauti post yangu ndo maana mnatokwa mitusi as if hamjafundwa.Namaanisha kuwa mtu anayeacha mambo yake na kujipeleka kwa jirani kutafuta umbea ni tabia za kishoga...humwoni huyo jamaa hapo juu anayetubeza kf?