manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Nimekusoma vema mkuu..Nilipata taaruki nikahisi tumeshapoteza kijana tena...Kwa kujiunga na team mchele mchele...Namaanisha kuwa mtu anayeacha mambo yake na kujipeleka kwa jirani kutafuta umbea ni tabia za kishoga...humwoni huyo jamaa hapo juu anayetubeza kf?

