Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Basi una nyota ya Bushstar![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hata sabasaba yenyewe sijawahi kwenda rafiki yangu huwa naishia tu kuchek kwenye tv
...........
Basi una nyota ya Bushstar![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hata sabasaba yenyewe sijawahi kwenda rafiki yangu huwa naishia tu kuchek kwenye tv
Ni kweli kabisa mana ameitafuta kiki kwa kadinali amefeli, akageukia RC wa arusha mara Magu ngoja tusubiri na sa ivi![]()
Anatafuta kick
...........
Mi niko poa sana shululu, kwema pande hizo?Nzuri sana briz, wewe vp
Uko poa dadaTwakumiss pia kaka ake
Kaacha kuhubiri injili analeta Polifix za poriniNi kweli kabisa mana ameitafuta kiki kwa kadinali amefeli, akageukia RC wa arusha mara Magu ngoja tusubiri na sa ivi
Naona leo ulikua na speed ya kobe, mutu ya kongo akatusuaUnastahili pongezi maana niliivizia sana Sema ukanizidi maarifa

Niaje bingwa? hongereni kwa ushindi wa juzKaribu jimix kwanza humu. Kwenye list utawekwa tu.
Leo usipoleta hadithi ujue fika kuwa mbata zitakuhusu![]()
![]()
![]()
![]()
tobaaaaa, ngoja nilete

Asante sanaNiaje bingwa? hongereni kwa ushindi wa juz
Kweli huyo haogeshwi kimahaba!!!![]()
![]()
![]()


umeonaa eh? Mtu anaogeshwa na jeans wakati naskia pande hizo huwa wanaogesha wakiwa wameyaweka mayai kwenye kisosiNa wewe umemisika piaWadau, nawamiss sana aisee
Hahahaha. Bado Nina furaha ya ubingwa wa juziNa wewe umemisika pia
Goma na Lubumbaa amuna ku usalama, leo shwali kesho machafuko Papaa, anko yangu tumemwamisha na mufamili yote! Alikuwa anamufanya kazi mugodini.Tuko poa kabisa, vp huko zaire, goma, lubumbashi?
Niko poa sanaaaUko poa dada
Ntajitahidi hata mwakani mana miaka yote hii sijawah kwendaSasa itabidi siku uende tu
We acha tuNaona leo ulikua na speed ya kobe, mutu ya kongo akatusua![]()
![]()
Fanya hivyotobaaaaa, ngoja nilete
![]()
![]()
![]()