briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Kwa leo hizo 5 zitatosha sana mi ndo naanza ya kwanza sa iviSawa ntakuwa naleta episode 5 tu.. na pia ntakuwa kuanzia saa 9-12.
Ili usiku niwaachie nyie jukwaa ili tusije tukaingiliana
Kwa leo hizo 5 zitatosha sana mi ndo naanza ya kwanza sa iviSawa ntakuwa naleta episode 5 tu.. na pia ntakuwa kuanzia saa 9-12.
Ili usiku niwaachie nyie jukwaa ili tusije tukaingiliana
Thanks my lovely brother... Iwe njema kwako piaMissing you mo, uwe na wikend njema
Amen, Amin & Amina... pamoja sanaThanks my lovely brother... Iwe njema kwako pia
Hamuna mushida Papaa.Mi mzima ndugu, salimia ba mutu ya kongo pande hizo
Briz vpKwa leo hizo 5 zitatosha sana mi ndo naanza ya kwanza sa ivi
Poa shululu, wikend vp pande hizo?Briz vp
Iko vizuri sana, tunashushia naPoa shululu, wikend vp pande hizo?

Vp huko ulikoPoa shululu, wikend vp pande hizo?
Aisee... Kule wanawabana sana wanawake kwenye taaluma.. Hongera zake1) Je wajua?
Ayesha Farook Urdu ndiye mwanamke wa kwanza Kuwa RUBANI WA NDEGE ZA KIVITA nchini Pakistan, alizaliwa Septemba 24/1987View attachment 364637View attachment 364638View attachment 364639
Hamuna mushida Papaa.

Poa ndugu, enjoyIko vizuri sana, tunashushia na![]()
Ayesha ni jembe aisee1) Je wajua?
Ayesha Farook Urdu ndiye mwanamke wa kwanza Kuwa RUBANI WA NDEGE ZA KIVITA nchini Pakistan, alizaliwa Septemba 24/1987View attachment 364637View attachment 364638View attachment 364639
Mi niliamka na mning'inio leo, so ni mwendo wa michemsho tu siku nzimaVp huko uliko

Baby wewe ni jembe...3) Je wajua?
Leo makapuku wanasherehekea uzi wao wa kapuku forum kufikisha miezi 3, huu ndio uzi pekee wenye posts zaidi ya 67k, rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na uzi wowote tangu kuanzishwa jf.
SanaaaaaOk, ila mpk sasa tuneshafika episode ya 4 na lengo ni episode 5 kila siku.
Hivyo ngoja nmalizie hyo ya 5 best.. mana inaonekana zmekubamba