Makapuku Forum

Makapuku Forum

3) Je wajua?
Leo makapuku wanasherehekea uzi wao wa kapuku forum kufikisha miezi 3, huu ndio uzi pekee wenye posts zaidi ya 67k, rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na uzi wowote tangu kuanzishwa jf.
b63f866514aaec49b142e4dbe8371f62.gif
16bfcfb844187558ab07e08122b22705.gif
837e821ba5a7feda83d8a558ff5eded8.gif
cf1fad0b8fefa04336fdf107ef34fd37.gif

MWENYE WIVU AJINYONGE HATA KAMA BONGE
...............
 
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME" atafanyaje wakati wote ni wanaume? mchungaji akapiga moyo konde na kusema "tangu sasa ninyi ni MAN UNITED


huu sasa ni utani wa ngumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom