Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Hizi nukuu zinabamba hebu zipe jina na kipondi, zinafaa
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME" atafanyaje wakati wote ni wanaume? mchungaji akapiga moyo konde na kusema "tangu sasa ninyi ni MAN UNITED
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huu sasa ni utani wa ngumi![]()

Hongera sana mkuu, keep it up!!!Pamoja sana bro![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hizo kila mtu anatupiaHizi nukuu zinabamba hebu zipe jina na kipondi, zinafaa
Hizo kila mtu anatupia
Labda ziwe muziki mchanganyiko
Muziki na sio nukuu!
Nimekuelewa...au kachumbari?????
Pia sawaNimekuelewa...au kachumbari?????