Mind you ng'ombe hazeeki maini.. Ni mwanaume huyo anasa bado hazijaisha [emoji4] [emoji4]Sana wakati kashazeeka
Afu usikute hizi ni record za wazungu tu huenda hawafiki mpaka huku afrika interior, nliwah kuskia hivi majuzi kuna bibi huko kenya amegonga 130yrs4)je wajua?
Mwamama Emma Morano ndiye mwanamke anayeongoza kwa umri mkubwa anayeushi na alizaliwa 1899 Nov 29, kwa sasa ana miaka 116.
Ni raia wa Italy
Nna babu yangu ana miaka 150 na ana enda shamba jioni ana piga mpira kwenye uwanja wa kijiji hawafiki tyu waone uku kwetuAfu usikute hizi ni record za wazungu tu huenda hawafiki mpaka huku afrika interior, nliwah kuskia hivi majuzi kuna bibi huko kenya amegonga 130yrs
Ni poa kabisa, niaje bro?I hope mko poa wakuu wangu woote
Ndo twasubiri hapaNa kumi kubwa zna kuja sasa hivi
Mtake msitake
[emoji125] [emoji100]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nna babu yangu ana miaka 150 na ana enda shamba jioni ana piga mpira kwenye uwanja wa kijiji hawafiki tyu waone uku kwetu
Eeeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Afu wengi huwa hawakumbuki umri huwa wanakumbuka majira flani tu hivi
KweliAfu usikute hizi ni record za wazungu tu huenda hawafiki mpaka huku afrika interior, nliwah kuskia hivi majuzi kuna bibi huko kenya amegonga 130yrs
Number 10, Mirabell Gardens, Salzburg, Austria![]()
Eeeh hii ili tengenezwa mwaka 1606 japo ilifanyiwa matengenezo mwaka na Prince-Archbishop Wolf Dietrich von Raitenau na ilifanyiwa markebisho madogo mwaka 1690
Hayo majengo mengine yalijengwa mwaka 1704 hadi 1718
Kwa wale wanaifaham fikamu bira kabisa ya "Sounds of Music" hapo ndo pale Maria ana kimbia na watoto wa kapten Von Trapp
EheeeSasa speaking of sikukuu kama kesho hivi najua lazma watu hupenda kwenda kupumzika sehem mbali mbali, among them ni Gardens yaan kwenye mabustan mbali mbali
Sidhani kama tanzania tuna utamaduni huo, infact nahis tuna bustan mbovu kuliko zote dunian
So leo tuna cheki bustani kumi bora duniani yaan kwa ki english ni
10 of World’s Most Beautiful Gardens
Karibu
Szczesny Carrenza nasukuma pindi hili hapa
Asa kumbe niniii
UmeelewekaZa sku mbili au 3 zilizo pita
Kwanza nawataka radhi kwamba jana nilikuwa busy na nlikosa muda wa kuleta kumi kali hapa
Kazi ni nyingi so bear with me
Kwanini hukufungaBismillah, ar-Rahman, ar-Rahim, Salaam alaikum ndugu zangu
Na watakien sikukuu njema, na nna wapongeza woote walio funga mwenyez Mungu awajaaliye barka tele
Number 9 Royal Botanic Gardens, Melbourne, Australiaibakafiruwa watu zaid ya milioni moja na nusu hutembelea bustani hii huko Melbourne na imegewanywa sehem ya watoto, sehemu ya yoga, sehem ya uchunguzi na sehem za matembezi ya kawaida iko karibu na mto Yara na ina kadiriwa kufikia ekari 100 hivi![]()