Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 1, Kirstenbosch, Cape Town, South Africa
ef3fa26fa1e78135df21cc58b05fef2e.jpg
ikiwa ina zaid ya aina 22,000 za maua ilianzishwa mwaja 1913 huko Pretoria kwa ajili ya kutunza aina fulan ya maua yaliyo kuwa yakihisiwa yana weza kupotea kwenye uso wa dunia, amini usiamini hii ndo Botanical Garden ya kwanza kabisa duniani

Ina maua yanayo itwa Restoss na huzaliana kwa kupata aina yyte ya moshi kwa hiyo bustan hii mara nyingi huwa na kuwashwa moto ili kuwezesha maua hayo yazaliane
 
Jaman mlikuwa na mimi wenu Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma

Jimena wangu nlitaka nidokeze jambo hapa kuhusu bustan ya Morocco ile lakin ntakuja PM maana vijana wataanza majungu hapa

Nawakubali wana famili
Katika wik 3 hizi zijazo Top ten inaweza kuwa ina kuja na kupotea kiaina so kaen tayar any time na nna wataka radhi kwani ni sababu zilizo nje ya uwezo wangu

Adiooous amigooooooouw
 
Number 1, Kirstenbosch, Cape Town, South Africa
ef3fa26fa1e78135df21cc58b05fef2e.jpg
ikiwa ina zaid ya aina 22,000 za maua ilianzishwa mwaja 1913 huko Pretoria kwa ajili ya kutunza aina fulan ya maua yaliyo kuwa yakihisiwa yana weza kupotea kwenye uso wa dunia, amini usiamini hii ndo Botanical Garden ya kwanza kabisa duniani

Ina maua yanayo itwa Restoss na huzaliana kwa kupata aina yyte ya moshi kwa hiyo bustan hii mara nyingi huwa na kuwashwa moto ili kuwezesha maua hayo yazaliane
832e8dee57fbaa4a093e3c65df0c08c9.jpg
8605d00229b352dd0d94eeca2e728e9e.jpg
754431a11637bd7d1a2f6a417e4fa3d4.jpg
 
Number 10, Mirabell Gardens, Salzburg, Austria
53aab89455a1d4a88f6996fc24130d4b.jpg

Eeeh hii ili tengenezwa mwaka 1606 japo ilifanyiwa matengenezo mwaka na Prince-Archbishop Wolf Dietrich von Raitenau na ilifanyiwa markebisho madogo mwaka 1690
Hayo majengo mengine yalijengwa mwaka 1704 hadi 1718
Kwa wale wanaifaham fikamu bira kabisa ya "Sounds of Music" hapo ndo pale Maria ana kimbia na watoto wa kapten Von Trapp
Kumbe Austria nao wamo
 
Jaman mlikuwa na mimi wenu Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma

Jimena wangu nlitaka nidokeze jambo hapa kuhusu bustan ya Morocco ile lakin ntakuja PM maana vijana wataanza majungu hapa

Nawakubali wana famili
Katika wik 3 hizi zijazo Top ten inaweza kuwa ina kuja na kupotea kiaina so kaen tayar any time na nna wataka radhi kwani ni sababu zilizo nje ya uwezo wangu

Adiooous amigooooooouw
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
..............
 
Back
Top Bottom