Poa poa mkuu, uko sawa!Makapuku habari zenu??
MZEE WA UPDATESHaina shida
Basi ntakapo ishia ntaendelea kesho
Usiwaze mkuu
Mkuu sababu ya kuachana sijaielewa..umendika miimbia..unamanisha kuimba au!Number 5, bwana harusi aliye miimbia bibi harusi usiku wa harusi
tukio hili ana lisimua kadhi mmoja hukuo saudi arabia Sheikh Ghazi Bin Abdul Aziz al-Shammari.![]()
Ana sema wakati wa mchana wa harusi alipewa zawadi jwenye bahasha lakini hakufungua kwani alikuwa ana wahi kuchukua mke
Hivo usiku alipo fungua alikuta picha za uchi za mkewe zilizo tumwa na Ex wake
Kilichofuata
Bwana harusi anatafutwa mpaka hvi leo
So sadNumber 4, Ramon Cusi, (65l na Esperanza Manapat, (45)
![]()
Hawa ni wakazi wa Manila huko Ufilipino
Kwenye mabano ni miaka yao
Bwana harusi ali fariki ghafla hapo hapo kanisani baada ya kukubali tuu kumuoa bibi huyo
Alipo sema "i do",na pumzi ika kata
Kilicho sikitisha ni kuwa hiyo ilikuwa ndo harusi ya kwanza kwa bibi harusi
maharage hayoWapenda doogii???
Alikuwa amechelewa chakariNumber 7 Jason Alexander na Britney Spears
kwa kuwa hawa walikuwa ni marafiki toka utotoni (walicheza mpaka kibaba baba na kimama mama) sasa mwaka 2004 Britney alimchuka jamaa wakale good time tuu![]()
Ila walipo fika huko kwenye good time wakapata mzuka wa kutangaza ndoa na wakaoana
Baada ya masaa 55 tuu ndoa ilisha na kila mtu aka rudi kwao
Britney ana dai alikubali ndoa bila kujitambua, sasa ali rogwa au vipi!!? mimi na wewe hatujui
Asante sana ngoja nimtafutie cha gizanii, kweny mwanga hapanog+245156878665 hiyo hapa. Kazi kwako