Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 5, bwana harusi aliye miimbia bibi harusi usiku wa harusi
6aa1054443693a0b8dcdd6ca651ae33b.jpg
tukio hili ana lisimua kadhi mmoja hukuo saudi arabia Sheikh Ghazi Bin Abdul Aziz al-Shammari.
Ana sema wakati wa mchana wa harusi alipewa zawadi kwenye bahasha lakini hakufungua kwani alikuwa ana wahi kuchukua mke
Hivo usiku alipo fungua alikuta picha za uchi za mkewe zilizo tumwa na Ex wake

Kilichofuata
Bwana harusi anatafutwa mpaka hvi leo
 
Number 4, Ramon Cusi, (65l na Esperanza Manapat, (45)
75375048f86d5068e30b27005997affc.jpg

Hawa ni wakazi wa Manila huko Ufilipino
Kwenye mabano ni miaka yao

Bwana harusi ali fariki ghafla hapo hapo kanisani baada ya kukubali tuu kumuoa bibi huyo
Alipo sema "i do",na pumzi ika kata
Kilicho sikitisha ni kuwa hiyo ilikuwa ndo harusi ya kwanza kwa bibi harusi
 
Number 5, bwana harusi aliye miimbia bibi harusi usiku wa harusi
6aa1054443693a0b8dcdd6ca651ae33b.jpg
tukio hili ana lisimua kadhi mmoja hukuo saudi arabia Sheikh Ghazi Bin Abdul Aziz al-Shammari.
Ana sema wakati wa mchana wa harusi alipewa zawadi jwenye bahasha lakini hakufungua kwani alikuwa ana wahi kuchukua mke
Hivo usiku alipo fungua alikuta picha za uchi za mkewe zilizo tumwa na Ex wake

Kilichofuata
Bwana harusi anatafutwa mpaka hvi leo
Mkuu sababu ya kuachana sijaielewa..umendika miimbia..unamanisha kuimba au!
 
Number 4, Ramon Cusi, (65l na Esperanza Manapat, (45)
75375048f86d5068e30b27005997affc.jpg

Hawa ni wakazi wa Manila huko Ufilipino
Kwenye mabano ni miaka yao

Bwana harusi ali fariki ghafla hapo hapo kanisani baada ya kukubali tuu kumuoa bibi huyo
Alipo sema "i do",na pumzi ika kata
Kilicho sikitisha ni kuwa hiyo ilikuwa ndo harusi ya kwanza kwa bibi harusi
So sad
 
Number 3, Zsa Zsa Gabor na Felipe de Alba
03e5f4e82d072008106f212a52d5056e.jpg
bibie Gabor alikuwa ana olewa mara ya 9 na ndugu Felipe lakin baad ya kufunga ndoa tuu walitaarifiwa kuwa bibi harusi alikuwa hajapewa talaka bado na mume walo achana naye
Hivo ndoa haikuwa halali
Baada ya hapo ndo nao wakaachana moja kwa moja
 
Number 2, Jean Acker na Rudolph Valentino
0ef4bd5cd37aa5c0a0ce1252cec26247.jpg
hawa waliachana masaa 6 baada ya kuona, usiku wa harusi tuu
Bibi harusi alimfungia bwana harusi na hawakulala pamoja
Na bibi harusi alidai yeye ana penda wana wake wenzie kulaka na huyo bhana hawezi
So waka ishia hapo

Hiyo ni mwaka 1919 na wana sema bwana harusi mpaka ana fariki hakuja ongea na huyo bibie tenaa
 
Number 7 Jason Alexander na Britney Spears
7b79893267f59403460471e904d254c9.jpg
kwa kuwa hawa walikuwa ni marafiki toka utotoni (walicheza mpaka kibaba baba na kimama mama) sasa mwaka 2004 Britney alimchuka jamaa wakale good time tuu
Ila walipo fika huko kwenye good time wakapata mzuka wa kutangaza ndoa na wakaoana

Baada ya masaa 55 tuu ndoa ilisha na kila mtu aka rudi kwao
Britney ana dai alikubali ndoa bila kujitambua, sasa ali rogwa au vipi!!? mimi na wewe hatujui
Alikuwa amechelewa chakari
 
Back
Top Bottom