Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
MaliziaWakuu muda wa bitoz
Wacha tusitishe hii ishu
Asanten
Mlikuwa nami
Kama kawa kama dawa
Amigoooo
Bitoz nakutaka radhi kwa kula tym
.............
MaliziaWakuu muda wa bitoz
Wacha tusitishe hii ishu
Asanten
Mlikuwa nami
Kama kawa kama dawa
Amigoooo
Bitoz nakutaka radhi kwa kula tym
Pongezi kwako[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]Wakuu muda wa bitoz
Wacha tusitishe hii ishu
Asanten
Mlikuwa nami
Kama kawa kama dawa
Amigoooo
Bitoz nakutaka radhi kwa kula tym
May he RIPNumber 4, Ramon Cusi, (65l na Esperanza Manapat, (45)
![]()
Hawa ni wakazi wa Manila huko Ufilipino
Kwenye mabano ni miaka yao
Bwana harusi ali fariki ghafla hapo hapo kanisani baada ya kukubali tuu kumuoa bibi huyo
Alipo sema "i do",na pumzi ika kata
Kilicho sikitisha ni kuwa hiyo ilikuwa ndo harusi ya kwanza kwa bibi harusi
HahahaMwanaume alikuwa kicheche
AlisusaNumber 2, Jean Acker na Rudolph Valentinohawa waliachana masaa 6 baada ya kuona, usiku wa harusi tuu![]()
Bibi harusi alimfungia bwana harusi na hawakulala pamoja
Na bibi harusi alidai yeye ana penda wana wake wenzie kulaka na huyo bhana hawezi
So waka ishia hapo
Hiyo ni mwaka 1919 na wana sema bwana harusi mpaka ana fariki hakuja ongea na huyo bibie tenaa
Basi wakati wa mapumziko malizia hiyo moja iliyobakiWakuu muda wa bitoz
Wacha tusitishe hii ishu
Asanten
Mlikuwa nami
Kama kawa kama dawa
Amigoooo
Bitoz nakutaka radhi kwa kula tym
Sio mchezo mungu bariki belgumRaja Naigolang
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Cant wait... Litafika na ile wine au??
Basi wakati wa mapumziko malizia hiyo moja iliyobaki
Acha zako.... Hiyo namba moja usilale tafadhali.. Mapumziko papHiyo tuna acha
Muda wa watu huoo