Makapuku Forum

Makapuku Forum

d68292ade31b3897cb2272e8fb109ac4.jpg

maombi yangu akifka ot awe kama falcao tuu
 
Aah polen na kaz za siku nzima wakuu
Tuna endelea na vibe za wedding vile vile

Wakati last segment tulizungumzia talaka zenye gharama kubwa zaid duniani na tulienda fureshi wote

Nadhan pia lazima tujue wakati wengine huanza ndoa kwa kuvumiliana na kupendana kwa nguvu, mambo baadaye huwa magumu na wanachokana na kuachana

Lakin wengine huwa wana achana mpeeeema
Wengine hawa vumilii
Wao fasta fasta huachana.....
 
Back
Top Bottom