Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Hii naikubali 100%NUKUU NO #2. Kama matendo yako yanahamasisha wengine kuwa na ndoto zaidi,kujifunza zaidi, kufanya zaidi na kujitambua zaidi, wewe ni kiongozi. Maneno haya yalisemwa na Rais wa sita wa Marekani, John Quincy Adam. Aliyeongoza taifa hilo Kati ya mwaka 1825 mpaka 1829. Alizaliwa Julai 11,1767 na kufariki Dunia Feb 02,1848.