Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,268
- 68,342
Mpaka hapo sina cha ziada tukutane kesho hapahapa kwa Udhamini wa Kiingilio bure.
Niamini mpendwaHahahaa! Ya kweli hayo?
Leo katika Historia:
1966 - Mike Iron Tyson anazaliwa. Ni mmoja kati ya mabondia hodari kuwahi kutokea hapa duniani katika mchezo wa Masumbwi.
Bila kusahau
Umeona eeh...na hatuwezi kuwaangushaSanaaaa
Ila mi na Mussolin5 tunakomaa nazo kibishi
Kumbe ilianzia Uingereza??Leo katika Historia.
1937 - Namba ya kwanza ya dharura (Emergence number) duniani yazinduliwa huko London Uingereza. Namba hiyo ilikuwa ni 999
Hvi hapa bongo tuna tumia ipi!!?Leo katika Historia.
1937 - Namba ya kwanza ya dharura (Emergence number) duniani yazinduliwa huko London Uingereza. Namba hiyo ilikuwa ni 999
picha murua kabisaa
Sijawahi hata kumsikiaLeo katika Historia.
1965 - Gary Pallister mchezaji wa zamani wa Man Utd na Timu ya Taifa ya Uingereza anazaliwa. Alikuwa akicheza nafasi ya beki.

Thanks jimenaView attachment 361389View attachment 361390
Kutoka magazetini sina la ziada...
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami
Ciao!
Leo katika Historia:
1985 - Mwanamuziki kutoka nchini Marekani T-Pain amezaliwa.
swadakta kabisaaa...alikuwa akicheza beki ya kati na Steve Bruce ambaye kwasasa ni kocha wa hull city.
Fundi huyuLeo katika Historia:
1966 - Mike Iron Tyson anazaliwa. Ni mmoja kati ya mabondia hodari kuwahi kutokea hapa duniani katika mchezo wa Masumbwi.
First rule...abiria chunga mzigo wakoNdio hataki kuibiwa mali yake
Nakuamini sasa mpendwaNiamini mpendwa
Licongo Werrason kuja hapaHBD Congolese
Cc papaa mukulu werrason