Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
fresh niaje kiongoziMzee wa ma-idea, niaje?
fresh niaje kiongoziMzee wa ma-idea, niaje?
Njoo uchukue ya kwangu[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Shdaaa chajer huwa naazima
hakika ni jambo zuri sana, tuzidi kudumu.Tunaikubali kazi au mchango wa kila member hapa;
Magazeti
Michezo
Top 10
Historia
Nukuu
Nawapongeza wabunifu hawa, naamini ck zijazo kila mtu ataleta ubunifu wake hapa
Raha ni pale unapopokea kitita cha [emoji383] [emoji383] [emoji383][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Raha kwa muachwa tuu muchaj kijasho hapo
mia mkuu![]()
![]()
Upo very clear
.................
Nili kwisha rekebisha mkuu[emoji115]
Asante sanaNawakubali woote, nna appriciate kwa kila aliye anzisha segment
Nawashukuru Jiimena na Bitoz ambao ndiyo kama ma role model wangu walio nifanya ni fanye namana na nikaleta ki segment hiki kidogo cha top 10 aka kumi kubwa
Sote ni familia sote tuna pafanya mahala hapa pawe pazuri kuwepo
EeehHii komesha
Yani baadae movie ikitoka hela nusu katafuna ex
Ahsante mkuu...JK Nyerere alikuwa smart sana! Angalia amepokelewa na Mkuu wa Nchi husika, lakini angalia viongozi wa leo wanavyojipendekeza kwenda Ughaibuni na kupokelewa na watendaji wa kawaida.![]()
![]()
White House USA
ISA Baby
......
HahahaaHahahahahaha kweli ikifikia hapa ni Hatari
Ameenhakika ni jambo zuri sana, tuzidi kudumu.
Ahsante Mkuu...be blessed!!Number 1, Rupert na Anna Murdoch – $1.7 billion
Rupert Murdoch alirithi makampuni ya habari kutoka kwa baba yake mnamo 1952. Kama vile Twentieth Century Fox, Harper Collins, The Wall Street Journal, na kamouni nyingine za media. Alimuia Anna Maria Torv mnamo1967 na mwaka 1999. Baada ya miaka 32 ya ndoa na watoto wa 3 aliamua kumuacha fidia ya dola 1.7 billion, uliamulua na dola 110 million za keshi kwa ajili ya usumbufu zilitolewa hapo hapo baada ya kesi![]()
Jimena ebu jitahid tusifike huku sasa, hii hataree
Ni njema kakafresh niaje kiongozi
Hapo ni kuachana tu maana hamna namna sasaEeeh
Pesa hadi ya kesho
Mambo ya [emoji383] [emoji383] [emoji383] [emoji383] [emoji383]Hahahaa
Hiyo jaman mtu ana kuwa billionea just kwa kuachwa tuu
Nyerere alikuwa HeroAhsante mkuu...JK Nyerere alikuwa smart sana! Angalia amepokelewa na Mkuu wa Nchi husika, lakini angalia viongozi wa leo wanavyojipendekeza kwenda Ughaibuni na kupokelewa na watendaji wa kawaida.
Ha ha ha, ndo mana bwana Magu anazikaushia nini?Ahsante mkuu...JK Nyerere alikuwa smart sana! Angalia amepokelewa na Mkuu wa Nchi husika, lakini angalia viongozi wa leo wanavyojipendekeza kwenda Ughaibuni na kupokelewa na watendaji wa kawaida.