Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ahsante mkuu...JK Nyerere alikuwa smart sana! Angalia amepokelewa na Mkuu wa Nchi husika, lakini angalia viongozi wa leo wanavyojipendekeza kwenda Ughaibuni na kupokelewa na watendaji wa kawaida.
Rais aliye pita alikuwa ana pokelewa na ma meya, madiwani, wenye viti wa bodi mbali mbali, adi na mahead master

Ilikuwa sasa hadi ni dharau
 
Asante sana

Wewe ile ya magazeti ndo shida mpaka wana taka waku nyang'anye sasa
Hawataweza.....
Uzuri Makapuku tumejipanga na tunafit kila idara na tunabuni vitu vipya daily
1. Update za soccer
2. Leo katika historia
3. Top 10
4. Nukuu ya leo
5. Magazeti
6. Loading.........
Yani huu uzi ukifikisha miezi 6 basi utakuwa na segment za kila aina...... Maana watu wanazidi kuumiza vichwa
 
Back
Top Bottom