Very sad![]()
NANCY REEGAN
Mke wa Ronald Reegan
..........
Pamoja SanaAsante sana kwa nukuu ya leo
Mkuu hakuuwawa ila alikoswa koswa japo alipigwa risasi![]()
Aliuawa mbele ya mke wake
.........
Asante kwa picha mkuu![]()
NANCY REEGAN
Mke wa Ronald Reegan
..........
Hakika ni jambo zuri. Hapa ni mwendo wa ubunifu tuu mpaka Wakongwe wajuutreNaunga mkono jina la segment
Nukuu ya leo toka kwa shululu iko sawa sana
Usituangushe mkuuSimu yangu imezima chaj
Ikiwaka ntaleta
Basi aliuawa John Kennedy mbele ya mkewe sijui km nimekoseaMkuu hakuuwawa ila alikoswa koswa japo alipigwa risasi
asante kwa kushare nasi.
Hakika ni jambo zuri. Hapa ni mwendo wa ubunifu tuu mpaka Wakongwe wajuutre
John F. Kennedy aliuwawa mbele ya Mkewe wakiwa Dallas, Texas walipokuwa kwenye gari la wazi mnamo 22 November ya mwaka 1963.Basi aliuawa John Kennedy mbele ya mkewe sijui km nimekosea
.......
CD700![]()
Mziki wetu mnene
............
Tupia picha JFK akiwa na Jk Nyerere ikulu ya Washington nchini Marekani.Basi aliuawa John Kennedy mbele ya mkewe sijui km nimekosea
.......
John F. Kennedy aliuwawa mbele ya Mkewe wakiwa Dallas, Texas walipokuwa kwenye gari la wazi mnamo 22 November ya mwaka 1965.
Alipigwa risasi 3 moja wapo ya kichwa na kuhitimisha uhai wake.
Huyu ni Rais wa mwisho wa USA kuuwawa akiwa Madarakani.
Alirithiwa na makamu wake Lyndon B. Johnson.
Tupia picha JFK akiwa na Jk Nyerere ikulu ya Washington nchini Marekani.
Ambapo Nyerere alipata heshima ya kitaifa kwa kudhuru huko Marekani.