Makapuku Forum

_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_
 
 
Their destiny ni kuishi pamoja forever.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…