Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Hata shetani hapendi kukuona ukifurahi au mkishikamana, kwake ni tatizo.
Hivi hapa tunamuudhi nani?
Tunatumia pesa ya mtu?
Je twawashambulia wengine?
Mwadamu ni kiumbe hatari na wa ajabu sana
Yo very rightHahahaha
Daaah
Haters bhana
Haters gona hate
Safi mkuuHabarin za jpili wapendwa katika Bwana?
Hahaha ni kweli kabisaVigezo vya ukuu wa wulaya si uwe tu mwana chama wa CCM usha malza hapo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kinacho wakera hasa ni nn!!?
Acha wapigweUfaransa leo wanaumbuka nyumbani
Tupa kule![]()
W.I.VU
kumbuka CC zipo thread kibao tu za wakongwe tena wameandikana na majina km sisi lkn sisi hatukuenda kuzinguana nao na tyr zimejifia
KAPUKU FORUM IPO JUU HIVYO LAZIMA WAKONGWE PAMOJA NA WASAKA KICK WAJAMBEJAMBE
TIWAIGNORE TU
..............
Mungu anasaidia, nimeonelea kutoa salam walau na upako wa jpiliSafi mkuu
Sjui wewee
Yaani magazeti yaanzishiwe jukwaa?Kuna mwingine nae baada ya kuona Makapuku tunashine ameenda kudai kule members only eti lianzishwe jukwaa jipya ambalo litakuwa linaweka vichwa vya habari vya magazeti ya kila siku
Safi kakaMungu anasaidia, nimeonelea kutoa salam walau na upako wa jpili
AaaahNataka niipate kabla ya Szczesny niwe wa kwanza kukuonjesha![]()
![]()
![]()

Kuna muda alionekana asubuhi, baada ya magazetiMi mwenyewe kama uwa namuona humu